Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Haki kuipata kwa hawa matapeli ni ngumu sn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MBONA KAPEWA WEWE NDIYO SHETANI SASAHawezi kupewa dhamana na hizi mahakama za kishetanin
Siku 19 gerezani kwa kosa la kijinga na linadhamana, ndiyo ujinga wa dola yenuMBONA KAPEWA WEWE NDIYO SHETANI SASA
Mwamba katoka Sasa sema Sasa!kwani aliingia wap ndio atoke kwenye mayai gentleman?🐒
Ni ya babu Yako aliyeko karibuniwacha akae ndani ili anyoooke anafikiri nchi ya babu yake hii
Aibu ya milele ikupate wewe na kizazi chako chote, Aminawacha akae ndani ili anyoooke anafikiri nchi ya babu yake hii
Awe makini , watataka kumteka tena hao majamaa wa mama AbdulHakimu mkazi Mkuu Franco Kiswaga wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam anayesikiliza kesi hiyo anatarajiwa kusoma hukumu ndogo ndani ya kesi ya msingi inayomkabili Boniface Jacob (Boni Yai).
Ingawa mashtaka yanayomkabili yana dhamana, lakini tangu aliposomewa mashtakata yanayomkabili, Septemba 19, 2024, dhamana yake imekuwa kizungumkuti kutokana na maombi yaliyotolewa na Serikali ya kuzuia dhamana yake.
Boni Yai anakabiliwa na kesi ya uchapishaji taarifa za uongo kwenye mitandao ya kijamii ambayo upelelezi wake bado haujakamilika.
UPDATE
MAHAKAMA ya Hakimu mkazi Kisutu leo Jumatatu Oktoba 07/2024 imekubaliana na hoja za utetezi kuhusu pingamizi la kutopatiwa dhamana lililokuwa limewekwa na Jamhuri dhidi ya aliyekuwa Meya wa Manispaa ya Kinondoni na baadaye Ubungo, Dar es Salaam Boniface Jacob (Boni Yai), hivyo Mwanasiasa huyo amepatiwa dhamana inayoendana na masharti yatakayowekwa kwenye shauri la msingi, ambalo sasa linaendelea.
Maamuzi hayo madogo ndani ya kesi ya msingi yametangazwa Mahakamani hapo na Hakimu mkazi Mkuu Franco Kiswaga wa Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam ambapo shauri hilo lililetwa Mahakamani hapo kwa ajili ya kusomwa hukumu ya kesi ndogo ndani ya kesi ya msingi.
Soma Pia
We usijione uko safi jela/gereza halikuhusu huko hata wee unaweza kwenda wakati siku yoyotekwani aliingia wap ndio atoke kwenye mayai gentleman?🐒
NakaziaAibu iwashike wote Wanaoshabikia watu kuwekwa ndani isivyo haki!Katoka Sasa!
Katoka Sasa,ni habari Dunia nzima Dw,BBC,voice of America,duh mwamba kala Dona week tatu,si maguvu ya misuli katoka nayo!saa zingine ukaidi na kiburi bana, vina gharama ambayo ni very useless kama hivi yaan 🐒
Kwanini unaghabu nayewacha akae ndani ili anyoooke anafikiri nchi ya babu yake hii
Huyu shatani namba moja (Boni) anastahili adhabu kali ili iwe fundisha kwa wapuuzi wa mitandaoni kuandika wanachojisikia tu.Hawezi kupewa dhamana na hizi mahakama za kishetanin
Matoto ya stand ni laana,Siku imepita nawee kwa upuuzi huu.Huyu shatani namba moja (Boni) anastahili adhabu kali ili iwe fundisha kwa wapuuzi wa mitandaoni kuandika wanachojisikia tu.
Acha ujingaHuyu shatani namba moja (Boni) anastahili adhabu kali ili iwe fundisha kwa wapuuzi wa mitandaoni kuandika wanachojisikia tu.
Sena ndio furaha yako kuona hayo yakitendeka kwa wenyemtazamo tofauti na wakosaa zingine ukaidi na kiburi bana, vina gharama ambayo ni very useless kama hivi yaan 🐒
wahalifu makaidi na wenye kiburi katika kutii sheria bila shuruti ni lazima wanyoroshwe kwa mujibu wa sheriaSena ndio furaha yako kuona hayo yakitendeka kwa wenyemtazamo tofauti na wako

kwahiyo sasa inasaidia nini hiyo ?Katoka Sasa,ni habari Dunia nzima Dw,BBC,voice of America,duh mwamba kala Dona week tatu,si maguvu ya misuli katoka nayo!

Mbona siku ni chache si angakaa tuu kama kina Mbowe miezi ya kutosha?Hakimu mkazi Mkuu Franco Kiswaga wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam anayesikiliza kesi hiyo anatarajiwa kusoma hukumu ndogo ndani ya kesi ya msingi inayomkabili Boniface Jacob (Boni Yai).
Ingawa mashtaka yanayomkabili yana dhamana, lakini tangu aliposomewa mashtakata yanayomkabili, Septemba 19, 2024, dhamana yake imekuwa kizungumkuti kutokana na maombi yaliyotolewa na Serikali ya kuzuia dhamana yake.
Boni Yai anakabiliwa na kesi ya uchapishaji taarifa za uongo kwenye mitandao ya kijamii ambayo upelelezi wake bado haujakamilika.
UPDATE
MAHAKAMA ya Hakimu mkazi Kisutu leo Jumatatu Oktoba 07/2024 imekubaliana na hoja za utetezi kuhusu pingamizi la kutopatiwa dhamana lililokuwa limewekwa na Jamhuri dhidi ya aliyekuwa Meya wa Manispaa ya Kinondoni na baadaye Ubungo, Dar es Salaam Boniface Jacob (Boni Yai), hivyo Mwanasiasa huyo amepatiwa dhamana inayoendana na masharti yatakayowekwa kwenye shauri la msingi, ambalo sasa linaendelea.
Maamuzi hayo madogo ndani ya kesi ya msingi yametangazwa Mahakamani hapo na Hakimu mkazi Mkuu Franco Kiswaga wa Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam ambapo shauri hilo lililetwa Mahakamani hapo kwa ajili ya kusomwa hukumu ya kesi ndogo ndani ya kesi ya msingi.
Soma Pia