Boniface Jacob apata dhamana baada ya kushikiliwa mahabusu kwa takriban siku 19

Awe makini , watataka kumteka tena hao majamaa wa mama Abdul
 
kwani aliingia wap ndio atoke kwenye mayai gentleman?🐒
We usijione uko safi jela/gereza halikuhusu huko hata wee unaweza kwenda wakati siku yoyote
Kwa wengine unafikiri huko wanakuogopa

Ova
 
Sheria inatamka wazi polisi wanatakiwa wamshikilie masaa ishirini na nne kama siyo kosa la uhaini na uhujumu uchumi aachiwe lakini Kwa kuwa mahakama zetu hupigiwa simu zimeamua kuvunja hiyo Sheria Kwa sababu ya simu ya kizimkazi aliyowapigia. Bora mahakama zetu zifutwe na tujiunge na marekani ili mtu akikosea tunaenda kumshitaki marekani.
 
Huyu shatani namba moja (Boni) anastahili adhabu kali ili iwe fundisha kwa wapuuzi wa mitandaoni kuandika wanachojisikia tu.
Matoto ya stand ni laana,Siku imepita nawee kwa upuuzi huu.
 
Sena ndio furaha yako kuona hayo yakitendeka kwa wenyemtazamo tofauti na wako
wahalifu makaidi na wenye kiburi katika kutii sheria bila shuruti ni lazima wanyoroshwe kwa mujibu wa sheria
 
Katoka Sasa,ni habari Dunia nzima Dw,BBC,voice of America,duh mwamba kala Dona week tatu,si maguvu ya misuli katoka nayo!
kwahiyo sasa inasaidia nini hiyo ?

kutafuta huruma ni kazi sana dah
 
Mbona siku ni chache si angakaa tuu kama kina Mbowe miezi ya kutosha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…