Boniface Jacob azua jambo kuhusu kingereza cha Msigwa. Msigwa ajibu na kuendelea kuharibu

Boniface Jacob azua jambo kuhusu kingereza cha Msigwa. Msigwa ajibu na kuendelea kuharibu

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Someni, mimi siongezi wala sipunguzi neno:

Baadae Msigwa akajibu.
Screenshot_20240818_212103_Chrome.jpg
Screenshot_20240818_212443_Chrome.jpg
 
Kiingereza ni mzigo wa upumbavu aliotuachia mkoloni

Wanakiharibu Kiswahili na hatuweki neno😆
 
😆😆😆😆
Mods wamehamisdha huu uzi sijui kwsababu gani!

Paw huu uzi kwanini mumeuhamisha Jukwaa? Mbona ule wa Mdude kuhusu Wamasai wa Ngorongoro mmeuacha na hauna tofauti na huu wangu?

Acheni kumlinda Msigwa wakati yeye anataka kuibomoa CHADEMA. Acheni avune hii aibu.
 
Mods wamehamisdha huu uzi sijui kwsababu gani!

Paw huu uzi kwanini mumeuhamisha Jukwaa? Mbona ule wa Mdude kuhusu Wamasai wa Ngorongoro mmeuacha na hauna tofauti na huu wangu?

Acheni kumlinda Msigwa wakati yeye anataka kuibomoa CHADEMA. Acheni avune hii aibu.
Jamii photo ndio kichaka cha kuficha nyuzi zinazopiga kwenye mshono
 
Back
Top Bottom