Boniface Jacob azua jambo kuhusu kingereza cha Msigwa. Msigwa ajibu na kuendelea kuharibu

Kiingereza ni mzigo wa upumbavu aliotuachia mkoloni

Wanakiharibu Kiswahili na hatuweki nenoπŸ˜†
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Mods wamehamisdha huu uzi sijui kwsababu gani!

Paw huu uzi kwanini mumeuhamisha Jukwaa? Mbona ule wa Mdude kuhusu Wamasai wa Ngorongoro mmeuacha na hauna tofauti na huu wangu?

Acheni kumlinda Msigwa wakati yeye anataka kuibomoa CHADEMA. Acheni avune hii aibu.
 
Jamii photo ndio kichaka cha kuficha nyuzi zinazopiga kwenye mshono
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…