LGE2024 Boniface Jacob: CHADEMA tumesimamisha wagombea katika Mitaa 547 kati ya 564, iliyobaki tumewaachia vyama vingine

LGE2024 Boniface Jacob: CHADEMA tumesimamisha wagombea katika Mitaa 547 kati ya 564, iliyobaki tumewaachia vyama vingine

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

mwanamwana

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
1,309
Reaction score
4,798
Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani Boniface Jacob (Boni Yai) akizungumza na wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi wa chama hicho mkoa wa Dar es Salaam katika uchaguzi wa serikali za mitaa, hafla iliyofanyika leo, Alhamisi Novemba 07.2024 amesema kuwa wamefanikiwa kusimamishawagombea katika Mitaa 547 kati ya 564

"Huu ni mkutano wa wagombea wa nafasi za Mwenyekiti na Wajumbe wa mitaa kwa mkoa wa Dar es Salaam kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, Katibu wetu wa Kanda ya Pwani (CHADEMA) ametuelezea hapa kwamba kwa mara ya kwanza Dar es Salaam inakamilisha mitaa 547 kati ya 564, na hiyo mitaa 23 iliyobaki si kwamba CCM imeachwa bila kupingwa bali kuna vyama vingine kwenye mashauriano wananchi wa maeneo hayo walituambia hapa mwachieni huyu na tulivyofuatilia tukajiridhisha wana nguvu" -Boni Yai

"Kwa kuwa CHADEMA dhumuni letu ni kuiondoa CCM tulikubali ushari wa wananchi wa maeneo husika kwamba kwa eneo letu mwenye nguvu ni huyu wa kupambana na CCM, na kwa maana hiyo maeneo hayo 23 tumewaachia vyama vingine, lakini mitaa 547 tumesimama wenyewe, kwa Dar es Salaam tafsiri yake tuna zaidi ya asilimia 95 ya kusimamisha wagombea" -Boni Yai

Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani Boniface Jacob (Boni Yai) alipokuwa akizungumza na wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi wa chama hicho mkoa wa Dar es Salaam katika uchaguzi wa serikali za mitaa, hafla iliyofanyika leo, Alhamisi Novemba 07.2024
 
:FIRE: CHADEMA YATOA MAFUNZO KWA WAGOMBEA WA MITAA, VIJIJI, VITONGOJI


View: https://m.youtube.com/watch?v=Pu83unLjSNY
Mamia ya wagombea nafasi za uongozi katika mkoa wa Dar es Salaam kupitia chama cha CHADEMA wamejitokeza kunolewa kisiasa na kimkakati kuelekea uchaguzi wa TAMISEMI 2024 ..

Mwenyekiti kanda ya Pwani CHADEMA asema chama kongwe dola kimekosa ushawishi miongoni mwa watu wazima wa umri wa miaka 18 na zaidi, kiasi kuwa CCM imeamua kutumia watoto wadogo kuwapigia kura 2024

Kusanyiko hilo la semina elekezi pia ni kielelezo kuonesha propaganda za CCM kuwa hakina upinzani ngazi ya mitaa, Vijiji na vitingoji mkoani Dar es Salaam ni propaganda mfu.

CCM ilieneza propaganda kuwa wapinzani wengi hawajajitokeza kuwania nafasi hizo za uongozi ngazi hizo, ili kwa kutumia hadaa hiyo wakurugenzi wakate au kuengua wagombea kutoka vyama vya upinzani kimya kimya kuwa kulikuwa hakuna wagombea waliojitokeza,kutoka upinzani ..
 
"Huu ni mkutano wa wagombea wa nafasi za Mwenyekiti na Wajumbe wa mitaa kwa mkoa wa Dar es Salaam kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, Katibu wetu wa Kanda ya Pwani (CHADEMA) ametuelezea hapa kwamba kwa mara ya kwanza Dar es Salaam inakamilisha mitaa 547 kati ya 564, na hiyo mitaa 23 iliyobaki si kwamba CCM imeachwa bila kupingwa bali kuna vyama vingine kwenye mashauriano wananchi wa maeneo hayo walituambia hapa mwachieni huyu na tulivyofuatilia tukajiridhisha wana nguvu" -Boni Yai

"Kwa kuwa CHADEMA dhumuni letu ni kuiondoa CCM tulikubali ushari wa wananchi wa maeneo husika kwamba kwa eneo letu mwenye nguvu ni huyu wa kupambana na CCM, na kwa maana hiyo maeneo hayo 23 tumewaachia vyama vingine, lakini mitaa 547 tumesimama wenyewe, kwa Dar es Salaam tafsiri yake tuna zaidi ya asilimia 95 ya kusimamisha wagombea" -Boni Yai

Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani Boniface Jacob (Boni Yai) alipokuwa akizungumza na wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi wa chama hicho mkoa wa Dar es Salaam katika uchaguzi wa serikali za mitaa, hafla iliyofanyika leo, Alhamisi Novemba 07.2024
MBONA MITAA YOTE HAKUNA WAGOMBEA WA CHADEMA HAO ANAOWASEMA WAKO MITAA IPI LABDA MBONA ANACHEKESHA HUYU BONI MAYAI
 
MBONA MITAA YOTE HAKUNA WAGOMBEA WA CHADEMA HAO ANAOWASEMA WAKO MITAA IPI LABDA MBONA ANACHEKESHA HUYU BONI MAYAI

Tizama video ikionesha kanda hii mojawapo ya CHADEMA yaani Pwani ikieta 'political game changer' jinsi mamia ya wagombea waliojitokeza kunolewa kupitia semina ya kujipanga katika uchaguzi
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani Boniface Jacob (Boni Yai) akizungumza na wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi wa chama hicho mkoa wa Dar es Salaam katika uchaguzi wa serikali za mitaa, hafla iliyofanyika leo, Alhamisi Novemba 07.2024 amesema kuwa wamefanikiwa kusimamishawagombea katika Mitaa 547 kati ya 564


"Huu ni mkutano wa wagombea wa nafasi za Mwenyekiti na Wajumbe wa mitaa kwa mkoa wa Dar es Salaam kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, Katibu wetu wa Kanda ya Pwani (CHADEMA) ametuelezea hapa kwamba kwa mara ya kwanza Dar es Salaam inakamilisha mitaa 547 kati ya 564, na hiyo mitaa 23 iliyobaki si kwamba CCM imeachwa bila kupingwa bali kuna vyama vingine kwenye mashauriano wananchi wa maeneo hayo walituambia hapa mwachieni huyu na tulivyofuatilia tukajiridhisha wana nguvu" -Boni Yai

"Kwa kuwa CHADEMA dhumuni letu ni kuiondoa CCM tulikubali ushari wa wananchi wa maeneo husika kwamba kwa eneo letu mwenye nguvu ni huyu wa kupambana na CCM, na kwa maana hiyo maeneo hayo 23 tumewaachia vyama vingine, lakini mitaa 547 tumesimama wenyewe, kwa Dar es Salaam tafsiri yake tuna zaidi ya asilimia 95 ya kusimamisha wagombea" -Boni Yai

Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani Boniface Jacob (Boni Yai) alipokuwa akizungumza na wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi wa chama hicho mkoa wa Dar es Salaam katika uchaguzi wa serikali za mitaa, hafla iliyofanyika leo, Alhamisi Novemba 07.2024
Muongo huyo aweke majina
 
Kesho CHADEMA kanda ya Pwani inakwenda kutoa mafunzo kwa wagombea wake wa mkoa wa Pwani ngazi za vijiji, mitaa na vitongoji.

Na kusanyiko hilo ni muendelezo wa CHADEMA kuonesha kuwa imejikita kushiriki na kuchukua uongozi wa ngazi hizi za msingi zinazogusa maisha ya wananchi mitaani, vijijini na vitongojini ...
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani Boniface Jacob (Boni Yai) akizungumza na wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi wa chama hicho mkoa wa Dar es Salaam katika uchaguzi wa serikali za mitaa, hafla iliyofanyika leo, Alhamisi Novemba 07.2024 amesema kuwa wamefanikiwa kusimamishawagombea katika Mitaa 547 kati ya 564

"Huu ni mkutano wa wagombea wa nafasi za Mwenyekiti na Wajumbe wa mitaa kwa mkoa wa Dar es Salaam kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, Katibu wetu wa Kanda ya Pwani (CHADEMA) ametuelezea hapa kwamba kwa mara ya kwanza Dar es Salaam inakamilisha mitaa 547 kati ya 564, na hiyo mitaa 23 iliyobaki si kwamba CCM imeachwa bila kupingwa bali kuna vyama vingine kwenye mashauriano wananchi wa maeneo hayo walituambia hapa mwachieni huyu na tulivyofuatilia tukajiridhisha wana nguvu" -Boni Yai

"Kwa kuwa CHADEMA dhumuni letu ni kuiondoa CCM tulikubali ushari wa wananchi wa maeneo husika kwamba kwa eneo letu mwenye nguvu ni huyu wa kupambana na CCM, na kwa maana hiyo maeneo hayo 23 tumewaachia vyama vingine, lakini mitaa 547 tumesimama wenyewe, kwa Dar es Salaam tafsiri yake tuna zaidi ya asilimia 95 ya kusimamisha wagombea" -Boni Yai

Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani Boniface Jacob (Boni Yai) alipokuwa akizungumza na wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi wa chama hicho mkoa wa Dar es Salaam katika uchaguzi wa serikali za mitaa, hafla iliyofanyika leo, Alhamisi Novemba 07.2024
Congrats chama changu cha Nguvu.
 
Kesho CHADEMA kanda ya Pwani inakwenda kutoa mafunzo kwa wagombea wake wa mkoa wa Pwani ngazi za vijiji, mitaa na vitongoji.

Na kusanyiko hilo ni muendelezo wa CHADEMA kuonesha kuwa imejikita kushiriki na kuchukua uongozi wa ngazi hizi za msingi zinazogusa maisha ya wananchi mitaani, vijijini na vitongojini ...
Well done Comrades
 
CDM wangeongeza nguvu tu kidogo wajinga wasingepata nafasi uchaguzi huu
 
MBONA MITAA YOTE HAKUNA WAGOMBEA WA CHADEMA HAO ANAOWASEMA WAKO MITAA IPI LABDA MBONA ANACHEKESHA HUYU BONI MAYAI
We wa ccm unawaona wakipita? Wana alama gani zinzo kutambulisha kwambq na huyu ni mgombea wa chamq fulani siyo chadema
 
Enzi akiwa Meya aliunda makampuni akawa anayapa tenda za Manispaa ya Ubungo kifisadi, ndio chanzo cha visenti vyake
Inaonekana ulianza kumjua akiwa Meya. Angefanya ufisadi gani kiopindi cha dhalimu magu, wakati alikuwa anawachukulia wapinzania kama wahaini?
 
Enzi akiwa Meya aliunda makampuni akawa anayapa tenda za Manispaa ya Ubungo kifisadi, ndio chanzo cha visenti vyake
Aise kumbe lakini utaratibu wa kupata zabuni mbona uko wazi sina hakika kama Meya ndo mwenye jukumu la kugawa ushindi wa zabuni pasipo kufata taratibu zote za manunuzi ya umma
 
Back
Top Bottom