Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi kabisaTujitokeze kwa wingi hadharani na kupiga kura ili tuweze kuwapima chama dola kongwe kama wanaweza kufurukuta katika uchaguzi ulio huru, wa haki, na siyo CCM kutegemea uchafuzi wa uchaguzi kushinda
🤣🤣🤣🤣MBONA MITAA YOTE HAKUNA WAGOMBEA WA CHADEMA HAO ANAOWASEMA WAKO MITAA IPI LABDA MBONA ANACHEKESHA HUYU BONI MAYAI
Alafu Makala alikuwa anawadanganya watu eti CHADEMA imeshindwa kusimamisha Wagombea. Shame on YouWamesimama au wanashindana?
Kama taarifa hii ni kweli, pongezi sana kwa juhudi hiyo, na ingependeza sana hali iwe hivyo hivyo na kwenye kanda nyingine nchi nzima.uchaguzi wa serikali za mitaa, hafla iliyofanyika leo, Alhamisi Novemba 07.2024 amesema kuwa wamefanikiwa kusimamishawagombea katika Mitaa 547 kati ya 564
Wewe unajua mitaa mingapi uliyoitembelea na usipelewe takwimu?MBONA MITAA YOTE HAKUNA WAGOMBEA WA CHADEMA HAO ANAOWASEMA WAKO MITAA IPI LABDA MBONA ANACHEKESHA HUYU BONI MAYAI
Kwenye kukata Majina hakusema lolote?Mama Samia amesema Uchaguzi utakuwa Huru na Haki. Washindi watatangazwa kwa Haki.
Kwani kampeni zimeanza?MBONA MITAA YOTE HAKUNA WAGOMBEA WA CHADEMA HAO ANAOWASEMA WAKO MITAA IPI LABDA MBONA ANACHEKESHA HUYU BONI MAYAI