Mnada wa Mhunze
Senior Member
- Mar 1, 2023
- 168
- 819
Boniface ambaye ni shabiki wa Simba kinda-kindaki amechukizwa na uongo wa kutunga anaoufanya Feisal!
Meya Boniface anaamini jambo la kweli husemwa na aliyetendwa bila kufundishwa ama kuelekezwa na yeyote
Meya huyo amechukizwa mno na namna TAPELI FEISAL anavyowarubuni watu wamchangie kwa SABABU YA UGOMVI WAKE BINAFSI NA ENG HERSI