the guardian 17
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 395
- 570
Hivi mkapa na Kikwete wsliwezaje kua transparent kiasi kile, Chadema mjufunze mlitukana sana utawala wa JK wakati ndo uliwapa nguvu hautakuja kurudi tena.Wakuu naona mambo yanazidi kuwa tofauti na vile ilivyotarajiwa licha ya imani iliyojitokeza baada ya Nchimbi kutoa kauli.
Ama ndiyo kusema wote makosa yao ni makubwa makubwa?
View attachment 3153087
Utawala niwa CCM na ndiyoiekuwa ikifanya yote hayo kwa kadili inavyojisikia. Kama JK angekuwa ana utofauti wowote angeweka mabadiliko ya kikatiba na kisheria, ila kwa kiwa ni walewale ndiyo maana hakuona umuhimu huo.Hivi mkapa na Kikwete wsliwezaje kua transparent kiasi kile, Chadema mjufunze mlitukana sana utawala wa JK wakati ndo uliwapa nguvu hautakuja kurudi tena.
🚮 🚮Hivi mkapa na Kikwete wsliwezaje kua transparent kiasi kile, Chadema mjufunze mlitukana sana utawala wa JK wakati ndo uliwapa nguvu hautakuja kurudi tena.
rufaa zitaipa this time around dah..Wakuu naona mambo yanazidi kuwa tofauti na vile ilivyotarajiwa licha ya imani iliyojitokeza baada ya Nchimbi kutoa kauli.
Ama ndiyo kusema wote makosa yao ni makubwa makubwa?
View attachment 3153087
Mtalia mpaka mzeeke kwasbb hamjui kushukuru wanao wafanyia wema, mgempenda sanaa Raisi JK alikua mtu wa demokurasia ila alitukanwa mpaka basi[emoji706] [emoji706]
Kwamba nyie maccm ni mungu na nchi ni yenu peke yenu?!!!
Ndio nashangaaAlafu bado chadema mnalazimisha kushiriki hayo mauchaguzi?
Walishauriwa wajitoe mapema, no way mamlaka zitawapa chanceChadema jitoeni kushiriki huu uchaguzi . Muwaachie ccm peke yao tuone kama watafaulu huu mtihani wa nchi ya Tanzania kwa kutumia chawa empty headed.
Wewe chawa ukiwalamba miguu inatoshaMtalia mpaka mzeeke kwasbb hamjui kushukuru wanao wafanyia wema, mgempenda sanaa Raisi JK alikua mtu wa demokurasia ila alitukanwa mpaka basi
Leta hoja mimi sio chawa wala CCM siipendi ila chadema ni wajinga wameshindwa kushawishi raia kugomea uchaguzi na kuandamana wanagombania ruzku na vyeo.Wewe chawa ukiwalamba miguu inatosha
Hii ndio kuonyesha ndani ya serikali ya Ccm kila mmoja ni kambale.Wakuu naona mambo yanazidi kuwa tofauti na vile ilivyotarajiwa licha ya imani iliyojitokeza baada ya Nchimbi kutoa kauli.
Ama ndiyo kusema wote makosa yao ni makubwa makubwa?
View attachment 3153087
ile ilikuwa ni ghiliba ya ccm,kujipamba kimataifa,huyo katibu anahusika kwa kila kitu ndani ya ccm kuenguliwa na kukataliwa kwa wagombea wa chadema bila hiyanaWakuu naona mambo yanazidi kuwa tofauti na vile ilivyotarajiwa licha ya imani iliyojitokeza baada ya Nchimbi kutoa kauli.
Ama ndiyo kusema wote makosa yao ni makubwa makubwa?
View attachment 3153087