Boniface Jacob: Kombo amezungushwa mikoa 10 akihojiwa na kuteswa na Polisi kabla ya kurudishwa Tanga


Lucas Mwashambwa wakinangwa vilivyo wenye serekali ya watesi hawa watakuwa wanaonewa?
 

8. Kombo anasema huko alipokuwa kuna watu wengine wakiwa wapo katika hali kama yake ya kufungwa vitambaa na kupewa mateso makali sana,lakini hajui ni akina nani.
 
Kwamba hukujali walichomfanyia.
 
Sad story..........kwenye poor country kama Tanzania.
Tutaendelea kuwa watumwa wakifrika mpaka lini.
Tunahitaji mabadiliko, kiukweli Jeshi la Police linatumiwa vibaya haswa na wanasiasa wenye ni mbaya na nchi yetu.

Enough it is enough, we need some changes.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…