Pre GE2025 Boniface Jacob kurejesha fomu ya kugombea Uenyekiti wa Kanda ya Pwani tarehe 05/09/2024 kwa Maandamano

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
maanndamano kwa manufaa ya nani sasa? mnapenda sifa za kijinga sana
 
Kwani chaguzi za kanda kwa Chadema hazina muda maalumu?
Naona kila Kanda inafanya mkutano kwa muda wake.
 
Asante Kwa Bob Yai
 
Chadema huwa hamna rushwa kama kule
 
Bon yai ndio kiumbe pekee ninayemuelewa cdm,jamaa ashinde huo uchaguzi wa kanda ya pwani,ni jembe hasa
 
Chawa wake umeshafika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…