Boniface Jacob mtoa taarifa za awali za mara kwa mara za watu kutekwa na miili kuokotwa, kuna namna hapa sio bure

Hanithi mkubwa we, unafikiria kwa umri huu mi nitaogopa tusi lolote kutoka kwa nyumbu kama wewe?!!! Nyie lazima mchunguzwe wapuuzi wakubwa nyie. Mashetani wakubwa kupitiliza.......tena nikimbie kabisa!
watu wa chama kimoja wauane , wawaache nyiny wabambikiza kesi
 
Watanzania wanataka utekaji ukomeshwe haijalishi nani anahusika kwahiyo kama mmejiridhisha au mnamtilia shaka mkamateni ili mradi msimfanye bangusilo(neno lilotumiwa na marehemu Ibrahim Msabaha akimaanisha kumuangushia jumba bovu).
Hatutaki ngonjera zenu.
 
Hanithi mkubwa we, unafikiria kwa umri huu mi nitaogopa tusi lolote kutoka kwa nyumbu kama wewe?!!! Nyie lazima mchunguzwe wapuuzi wakubwa nyie. Mashetani wakubwa kupitiliza.......tena nikimbie kabisa!
Una akili timamu wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…