Ulisema mpango na ukatoliki wake wote lakini kimya kisa madaraka,hii ni shutuma kuwa serikali imehusika na mauaji hayo,acha kujitia ujanja wa kuzunguka
Kwa makasiriko yako haya, si bure.
Vipi nimepiga mule mule?
Au umewahi kumskia huyo ndugu au mwingine yeyote kuongelea watu kupotea?
Au kwenu watu kupotea ni sawa na kuku kupotea tu?