Boniface Jacob: Ni lini Polisi Iringa itatoa taarifa ya miili ya vijana wawili iliyookotwa Wilaya ya Kilolo?

Boniface Jacob: Ni lini Polisi Iringa itatoa taarifa ya miili ya vijana wawili iliyookotwa Wilaya ya Kilolo?

Ulisema mpango na ukatoliki wake wote lakini kimya kisa madaraka,hii ni shutuma kuwa serikali imehusika na mauaji hayo,acha kujitia ujanja wa kuzunguka

Kwa makasiriko yako haya, si bure.

Vipi nimepiga mule mule?

Au umewahi kumskia huyo ndugu au mwingine yeyote kuongelea watu kupotea?

Au kwenu watu kupotea ni sawa na kuku kupotea tu?
 
Kwa makasiriko yako haya, si bure.

Vipi nimepiga mule mule?

Au umewahi kumskia huyo ndugu au mwingine yeyote kuongelea watu kupotea?

Au kwenu watu kupotea ni sawa na kuku kupotea tu?
Unataka rais,makamu wa rais',waziri mkuu, mawaziri wote,wakuu wa mikoa nk wazungumzie hilo suala, Ili iweje?
 
ANARIPOTI BONIYAI (BONIFASI JACOB)
Tarehe 23/8/2024 miili 2 ya vijana wanaokadiriwa kuwa na chini ya umri wa miaka 30 ikiwa na boksa imeokotwa wilayani Kilolo kata ya mahenge Kijiji Igemi ambayo askari polis waliichukuabaada ya kupewa taarifa na wana kijiji.
Boni yai anauliza taarifa ya miili hii itatolewa lini? Mbona kimya?

NAOGOPA: Isije kuwa ya akina Soka, MUNGU wa mbinguni pisha kwa mbali!
Hali si hali tena
 
Unataka rais,makamu wa rais',waziri mkuu, mawaziri wote,wakuu wa mikoa nk wazungumzie hilo suala, Ili iweje?

Kuna nadharia imejengeka kuwa mengi ya majina humu husadifu wasifu:

IMG_20240829_142636.jpg


Hilo la kwako linahusiana na lolote hapo?

Ni katika kuuliza tu, si kwa ubaya lakini.
 
ANARIPOTI BONIYAI (BONIFASI JACOB)
Tarehe 23/8/2024 miili 2 ya vijana wanaokadiriwa kuwa na chini ya umri wa miaka 30 ikiwa na boksa imeokotwa wilayani Kilolo kata ya mahenge Kijiji Igemi ambayo askari polis waliichukuabaada ya kupewa taarifa na wana kijiji.
Boni yai anauliza taarifa ya miili hii itatolewa lini? Mbona kimya?

NAOGOPA: Isije kuwa ya akina Soka, MUNGU wa mbinguni pisha kwa mbali!
Hebu Mungu mlinde Soka jamani, na wote wanaopotea kwa mazingira ya kutatanisha. Na anaefanya hivi kifo kimlambe kwa jina la Yesu
 
ANARIPOTI BONIYAI (BONIFASI JACOB)
Tarehe 23/8/2024 miili 2 ya vijana wanaokadiriwa kuwa na chini ya umri wa miaka 30 ikiwa na boksa imeokotwa wilayani Kilolo kata ya mahenge Kijiji Igemi ambayo askari polis waliichukuabaada ya kupewa taarifa na wana kijiji.
Boni yai anauliza taarifa ya miili hii itatolewa lini? Mbona kimya?

NAOGOPA: Isije kuwa ya akina Soka, MUNGU wa mbinguni pisha kwa mbali!
Mimi nilikuwa najiuliza hv kweli bunge na sirikali wanakaa wanatunga Sheria ya kwamba ikibainika usalama wa taifa ameaua asishtakiwe.
ISIKIE KWA MWINGINE SIKU IKIKUFIKA NDUGU YAKO AMETEKWA SIDHANI KAMA UTALICHUKULIA POA
 
ANARIPOTI BONIYAI (BONIFASI JACOB)
Tarehe 23/8/2024 miili 2 ya vijana wanaokadiriwa kuwa na chini ya umri wa miaka 30 ikiwa na boksa imeokotwa wilayani Kilolo kata ya mahenge Kijiji Igemi ambayo askari polis waliichukuabaada ya kupewa taarifa na wana kijiji.
Boni yai anauliza taarifa ya miili hii itatolewa lini? Mbona kimya?

NAOGOPA: Isije kuwa ya akina Soka, MUNGU wa mbinguni pisha kwa mbali!
Hatari sana hii, kilolo ipo mkoa gani?
 
Hv ninandika hapa mjomba wangu aliwahi kukamatwa kituo Cha polisi kwa kosa ambalo halijui na Bado akanyimwa dhamana tukaenda tukaenda RPC akagoma tukaenda kwa mkuu wa mkoa(tulimwandikia barua) akagoma tukaenda HQ takukuru Bado wakachomoa.
(Documents ninazo)
This is a painful story
 
Hv ninandika hapa mjomba wangu aliwahi kukamatwa kituo Cha polisi kwa kosa ambalo halijui na Bado akanyimwa dhamana tukaenda tukaenda RPC akagoma tukaenda kwa mkuu wa mkoa(tulimwandikia barua) akagoma tukaenda HQ takukuru Bado wakachomoa.
(Documents ninazo)
This is a painful story
Ikawaje alitoka au
 
Back
Top Bottom