Ulisema mpango na ukatoliki wake wote lakini kimya kisa madaraka,hii ni shutuma kuwa serikali imehusika na mauaji hayo,acha kujitia ujanja wa kuzunguka
Sasa mbona unashutumu serikali?Mi sijui, vipi wewe unajua?
Unataka rais,makamu wa rais',waziri mkuu, mawaziri wote,wakuu wa mikoa nk wazungumzie hilo suala, Ili iweje?Kwa makasiriko yako haya, si bure.
Vipi nimepiga mule mule?
Au umewahi kumskia huyo ndugu au mwingine yeyote kuongelea watu kupotea?
Au kwenu watu kupotea ni sawa na kuku kupotea tu?
Hali si hali tenaANARIPOTI BONIYAI (BONIFASI JACOB)
Tarehe 23/8/2024 miili 2 ya vijana wanaokadiriwa kuwa na chini ya umri wa miaka 30 ikiwa na boksa imeokotwa wilayani Kilolo kata ya mahenge Kijiji Igemi ambayo askari polis waliichukuabaada ya kupewa taarifa na wana kijiji.
Boni yai anauliza taarifa ya miili hii itatolewa lini? Mbona kimya?
NAOGOPA: Isije kuwa ya akina Soka, MUNGU wa mbinguni pisha kwa mbali!
Unataka rais,makamu wa rais',waziri mkuu, mawaziri wote,wakuu wa mikoa nk wazungumzie hilo suala, Ili iweje?
Waliuawa na serikali!?
Acheni upuuzi
Hebu Mungu mlinde Soka jamani, na wote wanaopotea kwa mazingira ya kutatanisha. Na anaefanya hivi kifo kimlambe kwa jina la YesuANARIPOTI BONIYAI (BONIFASI JACOB)
Tarehe 23/8/2024 miili 2 ya vijana wanaokadiriwa kuwa na chini ya umri wa miaka 30 ikiwa na boksa imeokotwa wilayani Kilolo kata ya mahenge Kijiji Igemi ambayo askari polis waliichukuabaada ya kupewa taarifa na wana kijiji.
Boni yai anauliza taarifa ya miili hii itatolewa lini? Mbona kimya?
NAOGOPA: Isije kuwa ya akina Soka, MUNGU wa mbinguni pisha kwa mbali!
Mimi nilikuwa najiuliza hv kweli bunge na sirikali wanakaa wanatunga Sheria ya kwamba ikibainika usalama wa taifa ameaua asishtakiwe.ANARIPOTI BONIYAI (BONIFASI JACOB)
Tarehe 23/8/2024 miili 2 ya vijana wanaokadiriwa kuwa na chini ya umri wa miaka 30 ikiwa na boksa imeokotwa wilayani Kilolo kata ya mahenge Kijiji Igemi ambayo askari polis waliichukuabaada ya kupewa taarifa na wana kijiji.
Boni yai anauliza taarifa ya miili hii itatolewa lini? Mbona kimya?
NAOGOPA: Isije kuwa ya akina Soka, MUNGU wa mbinguni pisha kwa mbali!
Majambazi wakiwa wanatuvamia na kutuua, uporaji ukishamili huwa analaumiwa nani? Simba na Yanga? Au Diamond?Sasa mbona unashutumu serikali?
Hatari sana hii, kilolo ipo mkoa gani?ANARIPOTI BONIYAI (BONIFASI JACOB)
Tarehe 23/8/2024 miili 2 ya vijana wanaokadiriwa kuwa na chini ya umri wa miaka 30 ikiwa na boksa imeokotwa wilayani Kilolo kata ya mahenge Kijiji Igemi ambayo askari polis waliichukuabaada ya kupewa taarifa na wana kijiji.
Boni yai anauliza taarifa ya miili hii itatolewa lini? Mbona kimya?
NAOGOPA: Isije kuwa ya akina Soka, MUNGU wa mbinguni pisha kwa mbali!
Kwa nn umehis ivyo? Na kipi kimekufanya uanze kuipakazia serikali?Waliuawa na serikali!?
IringaHatari sana hii, kilolo ipo mkoa gani?
Sio mahenge ya Ulanga, ni mahenge ya Kilolo huko Iringa.Mahenge Ulanga ni moja ya eneo ambalo mkao wake "plateaus" unaovutia sana ila mlima nyani unatisha sana
Na unapoteaa haswaa!!Kama kawaida ya hii nchi ukijifanya roporopo lazima upotee kama upepo
Ni shida hii nchiNa unapoteaa haswaa!!
Ikawaje alitoka auHv ninandika hapa mjomba wangu aliwahi kukamatwa kituo Cha polisi kwa kosa ambalo halijui na Bado akanyimwa dhamana tukaenda tukaenda RPC akagoma tukaenda kwa mkuu wa mkoa(tulimwandikia barua) akagoma tukaenda HQ takukuru Bado wakachomoa.
(Documents ninazo)
This is a painful story