Boniface Jacob: Polisi walioua Mlinzi wa Bar ya Boardroom Sinza wadaiwa kutumwa na RC Chalamila kukamata Wanaojiuza

Hii ni hatari sana si uongo jeshi la polisi usiku kazi yao wamegeuka watu wakuzunguka kukusanya Black Tax, sasa sijui ni nani huwa anawatuma hizo hela ?
Ndio imegeuka kazi yao ya usiku kuzunguka kwenye ma bar na kukusanya hela unakuta kwenye bar moja zinakuja hata Gari zao zaidi ya 3 mida tofautitofauti kuchukua hela
 
Mshahara wa dhambi ni mauti, ukahaba nao ni tatizo
Makahaba hawataisha duniani hawastahili kuuliwa ingekuwa wanauliwa mashoga ningesema sawa.Lakini kitendo cha kuwawinda madada poa siyo kizuri,utengenezwe utaratibu ambao utawaondoa kwenye hiyo boiashara bila kuwabughudhi.
 
Pia Kuna haja ya kubadili selection criteria ya recruits wa police. Hamna sababu ya kuchukua wale walioshindwa na maisha sehemu nyingine na kuwafanya police. Inabidi wanaochaguliwa wawe ni wale ambao akili yao imetimia with critical thinking na uwezo mkubwa wa uvumilivu. Sio unachukua mtu ambaye akinyimwa rushwa au bia anakoki mashine. Haikubaliki
 
Ni lazima Jeshi liwe hivyo ili litumwe kiwehuwehu na wanaowatuma, watu critical watagomea kazi za kijinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We Meya ambaye hakuchaguliwa ofisi zako zi wapi?
 
Ni lazima Jeshi liwe hivyo ili litumwe kiwehuwehu na wanaowatuma, watu critical watagomea kazi za kijinga

Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini kufanya police kama jeshi ndio matatizo... Pia kama unataka polisi wafanye kiwehuwehu tusilalamike wakiua kirahisi. Pia tuendelea kusubiri matukio mengi ya aina ya Sinza
 


Yaani mtu awe kahaba (atumie mwili wake mama bidhaa kuuza ili aishi) halafu awe na akili?
 
Nawashaurini enyi watanzania mnaotafuta kwa ajili ya watoto wenu na wazaz wenu, ukion mtu amekuja na silaha, kaa nae mbali.
 
Mshahara wa dhambi ni mauti, ukahaba nao ni tatizo
Makahaba hawataisha duniani hawastahili kuuliwa ingekuwa wanauliwa mashoga ningesema sawa.Lakini kitendo cha kuwawinda madada poa siyo kizuri,utengenezwe utaratibu ambao utawaondoa kwenye hiyo boiashara bila kuwabughudhi.
Walevi na makahaba pamoja na supportive wao wafe tu.
Huyo mlinzi alikuwa analinda makahaba
Imani yako isiharibu usitawi jamii zingine,mbona wewe hujafa na imani yako?
 
Ilipotoka habari hii ya polisi kuvamia bar na kuua, tulisema polisi hao lazima watakuwa wamelewa,maana asilimia kubwa ya polisi hapo mabatini wakiwa kaZini huwa wamelewa
Leo mashuhuda huko wanakuambia wale askari waliyokuja pale walikuwa
Bwaxxx
PT waache kulea ujinga utawapaje askari waliyolewa silaha

Ova
 
Hakuna kitu kama Samia kuwafanyie favour wananchi waliolala fofofo. Aidha wajue haki zao na kuzidai au waendelee kupukutishwa.
 
Jamani haya mambo hayajanza leo. Polisi wa hapo Mabatini hizi ndiyo deal zao. Bar na guest house zote zilizopo mitaa ya Sinza (mpaka zile bubu) huwa wanazunguka na silaha kudai rushwa kwa nguvu. Siku moja nilikuwa nakatiza mbele ya guest bubu moja nikakutana na polisi ameshika bastola kama yuko tayari kupambana na majambazi, anaingia ndani ya guest kudai rushwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…