maramojatu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,749
- 2,319
Hao police na mkuu wa mkoa aliyewatuma wanatakiwa wasikilizishwe ule wimbo wa FM academia unaoitwa Heshima kwa wanawake... Siyo Kila mwanamke anayeingia bar anajiuza....... Wengine ni starehe na matumizi...