Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Sisi tusiokuwepo huko umeruletea huku asante, Mafwele must go.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha aongee , yeye ndo anajua maumivu aliyoyapitia , hata akienda bora records zitakuwepoTime hii akienda hatarudi
MTandao wa X sio serikali ya ccm ewe mbusi meedawa yake ni kuiripotia kama ni post ya kichochezi
Ndio kaa ujue bongo kuna ufala mwingi!View attachment 3120462
Huyu kijana simfatilii uko twitter kabisa ila story yake ya kutekwa ninaifahamu.
Nilichostuka ni kukutana na post yake Instagram ikiwa imelipiwa kama tangazo ili iweze kuwafikia watu wengi.
Nikajiuliza huyu kijana jobless aliyetoka kuchangiwa matibabu anapata wapi pesa za kurusha matangazo Instagram?
Yeye ananufaika nini na post kama hizi zikienda viral?
Mimi sijamfollow Instagram ila amelazimsha nikutane na post yake kwa kuwa kalipia mapesa mengi lengo ni watu kama sisi tusio mfollow tuone post zake.
Mambo ya kulipia matangazo tunayaona kwa wafanyabiashara sababu wanategemea kupata faida sasa huyu anafaidika nini?
NANI YUPO NYUMA YA SATIVA?
Inabidi kuuliza pia Mafwele anatumwa na nani kuwaua anaowauaView attachment 3120462
Huyu kijana simfatilii uko twitter kabisa ila story yake ya kutekwa ninaifahamu.
Nilichostuka ni kukutana na post yake Instagram ikiwa imelipiwa kama tangazo ili iweze kuwafikia watu wengi.
Nikajiuliza huyu kijana jobless aliyetoka kuchangiwa matibabu anapata wapi pesa za kurusha matangazo Instagram?
Yeye ananufaika nini na post kama hizi zikienda viral?
Mimi sijamfollow Instagram ila amelazimsha nikutane na post yake kwa kuwa kalipia mapesa mengi lengo ni watu kama sisi tusio mfollow tuone post zake.
Mambo ya kulipia matangazo tunayaona kwa wafanyabiashara sababu wanategemea kupata faida sasa huyu anafaidika nini?
NANI YUPO NYUMA YA SATIVA?
SijuiBajeti anaitoa wapi?
Budget anatoa wapi na hana kazi anajiuguza yupo kitandani?
Sio wote waniitao Bwana,Bwana, moyoni wamejaa Hila!Dini ni kivuli mkuu
Sio lazima u some mkuu!Mnatuchosha sana na haya mahabari yenu yasiyo kuwa na kikomo.
Hao watu ulio waorodhesha hapo wewe unadhani ni mjuaji zaidi kuliko walivyo wao?
Nimeshindwa hata kusoma hilo tangazo zima
Bado nauliza, nani anamtuma Sativa?Umejibiwa?
Atakuwa anajituma mwenyewe,si kaacha na namba yake kwenye threat flani,muulize yeye!Bado nauliza, nani anamtuma Sativa?
Unataka kujua?Bado nauliza, nani anamtuma Sativa?
Sativa hata kula yake ni ya shida, anapata wapi pesa za kuset tangazo?We mpuuzi, it is just $50 tu sawa na 120,000; unajua Lisu alichangiwa mpaka 2000 kwa ajili ya kununua gari? Unajua ticket ya ndege return Brussels ni bei gani? Lisu katoa wapi zaidi ya 4m kwa ajili ya ticket wakati tulimchangia hela zetu kununua gari?
Unakuwa tu mpuuzi kuuliza maswali ya hovyo!
Ndio. Nani anaemtuma Sativa?Unataka kujua?
Yaani Mbeya kwao kuna shida ya chakula!Acha dharau!Sativa hata kula yake ni ya shida, anapata wapi pesa za kuset tangazo?
Waliokamteka unawajua?Ndio. Nani anaemtuma Sativa?