- Thread starter
- #41
Hujabadilika? Nimekukataza petty answers kwa mabo ya msingi. huu ni uahi wa mtu!Uzuri wa Migombani mko Wamoja 🐼
Uchadema na Uccm ni mkiwa Mjini Dar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujabadilika? Nimekukataza petty answers kwa mabo ya msingi. huu ni uahi wa mtu!Uzuri wa Migombani mko Wamoja 🐼
Uchadema na Uccm ni mkiwa Mjini Dar
Kwa nini mumemuua?Kama hamkumchangia ili apone, kinawauma nini angali umautini?
Na aliyetumika kumpa sumu ni wa migombani piaUzuri wa Migombani mko Wamoja [emoji209]
Uchadema na Uccm ni mkiwa Mjini Dar
Ndugai ni zaidi ya shetaniUNAKUMBUKA KWA LISU WALISHAPANGA NA RATIBA KUWA AKIFA AZIKWE SIKU HIYO HIYO NA HAKUNA SALAMU ZA MWISHO..... NDUGAI ALISHARATIBU KILA KITU.
Hapana na Basha lako ambalo ndo mimiAkisaidiana na mama ako
Ninyi wauaji, ikitokea tu mtu akaonekana kujua details za uovu wenu, naona mnachanganyikiwa na kufoka hovyo.Tuwekee hiyo ratiba na Hotuba kima mmoja wewe
USSR
Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
Chifu Ile avatar mboni umeitoa?Wachangie nini wakati alitishwa akasema yeye haumwi yuko mzima wa afya? Wauaji wakubwa nyie.
Ccm ni taasisi kubwa una uhakika gan kama Ccm ndo iliyomua ?
Uhuni wa watu wachache usikufanya ukaihukumu taasisi nzima.
Tume huru iwekwe leo basi bado ccm inayo nafasi kubwa san ya kushinda kuanzia ngazi ya urais mpaka udiwani.
Tanzania bado ina wajinga wengi sana ukitaka kuthibitisha ilo angalia mikutano ya makonda anavyokuwa na nyomi la watu.
Kwa miaka iliyokaa mdarakani ccm kutawala na ukilinganisha na maendeleo yaliyopo ccm ilitakiwa iwe ishondolewa madarakan kitambo sana ila kwakuwa wajinga ni wengi san nchii hii, nao Ccm wanatumia mtaji uwo kubaki madarakani.
Ccm imeshajuaa nchii wajinga ni wengi sana ndio maana hawataki kuweka tume huru na hakuna lolote wananchi wajinga wanaweza kufanya.Kama CCM ina uhakika wa kushinda, kwa nini inakataa tume huru ya uchaguzi? Kukataa kuwa na tume huru ya uchaguzi ni ushahidi tosha kuwa CCM inatambua kwenye uchaguzi wa haki, haiwezi kushinda.
Hivi CHADEMA walimchangia ngapi kwenye matibabu?
CHADEMA ipi? Punguza unafiki. Yani Jambo lolote likiulizwa na raia umekimbilia agenda ya CHADEMA. Yani Raia wasiulize kitu kisa wataambiwa ni CHADEMA.Yaaaani Chadema washaona ni ajenda kwao.
Kwa kweli kama uwo ndo upinzani taifa bado lina safar ndefuuu san na ccm itaendelea kutawala miaka mingi sanaaaaa
WEKA HAPA
Halafu ukiisoma uanze kuiponda?. Wanafiki hamuishi duniani.Ili tusome na kuiona
Ccm ni taasisi kubwa una uhakika gan kama Ccm ndo iliyomua ?
Uhuni wa watu wachache usikufanya ukaihukumu taasisi nzima.
Tume huru iwekwe leo basi bado ccm inayo nafasi kubwa san ya kushinda kuanzia ngazi ya urais mpaka udiwani.
Tanzania bado ina wajinga wengi sana ukitaka kuthibitisha ilo angalia mikutano ya makonda anavyokuwa na nyomi la watu.
Kwa miaka iliyokaa mdarakani ccm kutawala na ukilinganisha na maendeleo yaliyopo ccm ilitakiwa iwe ishondolewa madarakan kitambo sana ila kwakuwa wajinga ni wengi san nchii hii, nao Ccm wanatumia mtaji uwo kubaki madarakani.
Wametumia style ya Philip Mangula kummaliza Thadei ole MushiKama hamkumchangia ili apone, kinawauma nini angali umautini?
Tuwekee hiyo ratiba na Hotuba kima mmoja wewe
USSR
Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
Kutokuchangia hakuwapi nyie uhalali wa kumuua.Kama hamkumchangia ili apone, kinawauma nini angali umautini?
Wajinga namba moja ni CCMCcm imeshajuaa nchii wajinga ni wengi sana ndio maana hawataki kuweka tume huru na hakuna lolote wananchi wajinga wanaweza kufanya.
We kwenye matibabu ya chizi la chato ulichangia ngapi??Hivi CHADEMA walimchangia ngapi kwenye matibabu?