Boniface Jacob: Roho ya Thadei Ole Mushi yaiandama CCM

Boniface Jacob: Roho ya Thadei Ole Mushi yaiandama CCM

CCM ni wa mutiliwa sana mashaka kwani ina uzoefu mkubwa katika kuwanyima watu haki ya kuishi, na ndiyo maana yule kinara ambaye uwezo wake wa kukatisha watu haki ya kuishi umejulikana hata nje ya mipaka ya nchi, wamempa nafasi ya uenezi, yumkini ili aweze kueneza huo unyama wao.
 
Ccm ni taasisi kubwa una uhakika gan kama Ccm ndo iliyomua ?
Uhuni wa watu wachache usikufanya ukaihukumu taasisi nzima.
Tume huru iwekwe leo basi bado ccm inayo nafasi kubwa san ya kushinda kuanzia ngazi ya urais mpaka udiwani.

Tanzania bado ina wajinga wengi sana ukitaka kuthibitisha ilo angalia mikutano ya makonda anavyokuwa na nyomi la watu.

Kwa miaka iliyokaa mdarakani ccm kutawala na ukilinganisha na maendeleo yaliyopo ccm ilitakiwa iwe ishondolewa madarakan kitambo sana ila kwakuwa wajinga ni wengi san nchii hii, nao Ccm wanatumia mtaji uwo kubaki madarakani.

Kama CCM ina uhakika wa kushinda, kwa nini inakataa tume huru ya uchaguzi? Kukataa kuwa na tume huru ya uchaguzi ni ushahidi tosha kuwa CCM inatambua kwenye uchaguzi wa haki, haiwezi kushinda.
 
Kama CCM ina uhakika wa kushinda, kwa nini inakataa tume huru ya uchaguzi? Kukataa kuwa na tume huru ya uchaguzi ni ushahidi tosha kuwa CCM inatambua kwenye uchaguzi wa haki, haiwezi kushinda.
Ccm imeshajuaa nchii wajinga ni wengi sana ndio maana hawataki kuweka tume huru na hakuna lolote wananchi wajinga wanaweza kufanya.
 
Yaaaani Chadema washaona ni ajenda kwao.

Kwa kweli kama uwo ndo upinzani taifa bado lina safar ndefuuu san na ccm itaendelea kutawala miaka mingi sanaaaaa
CHADEMA ipi? Punguza unafiki. Yani Jambo lolote likiulizwa na raia umekimbilia agenda ya CHADEMA. Yani Raia wasiulize kitu kisa wataambiwa ni CHADEMA.
 
Ccm ni taasisi kubwa una uhakika gan kama Ccm ndo iliyomua ?
Uhuni wa watu wachache usikufanya ukaihukumu taasisi nzima.
Tume huru iwekwe leo basi bado ccm inayo nafasi kubwa san ya kushinda kuanzia ngazi ya urais mpaka udiwani.

Tanzania bado ina wajinga wengi sana ukitaka kuthibitisha ilo angalia mikutano ya makonda anavyokuwa na nyomi la watu.

Kwa miaka iliyokaa mdarakani ccm kutawala na ukilinganisha na maendeleo yaliyopo ccm ilitakiwa iwe ishondolewa madarakan kitambo sana ila kwakuwa wajinga ni wengi san nchii hii, nao Ccm wanatumia mtaji uwo kubaki madarakani.

Kama hujui kitu Kaa kimya , sio kuropoka ukidhani kila mtu ni mjinga kamaa wewe. Sikia ewe chawa wa CCM
 
Back
Top Bottom