Kwamba hakuna asiyeona kuwa lengo lake Mwabukusi ni zuri, kulikoni baadhi yenu kutojikita katika mazuri yake na kushirikiana naye kwenye ukombozi badala ya kujipanga kumkwamisha au kumwonbea kushindwa?
Kwamba mmejipanga kuwa adui yakena mnamwombea njaa?
Hamuoni kuwa mnajianika kuwa hamko tayari kukosolewa? Kwa ku kupaniki kwenu huku mtakuwa mnawapa tabasamu kubwa Lumumba.
Kwamba leo mnaungwa mkono hata na kina
johnthebaptist,
FaizaFoxy,
Lucas mwashambwa, @act, polisi na hata wasiojulikana dhidi ya Mwabukusi na wenziwe na Bado hamjishangai ni jambo la fedheha kubwa ndugu zangu ..