BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
kuna sheria anavunja?Pamoja na kujiita mtuhuru ila hayuko na uhuru hata kidogo! hofu yake kubwa ni kwamba anaogopa kuachia Ofisi kwamba maovu yake mengi aliyonayo yatafichuliwa. na anayo mengi kwelikweli!
Hujajibu swali pangu.MWambukusi TLS ilisha mshinda kwa sasa yuko busy na mambo ya CDM
Yuko NCCR mambo ta CDM hayamhusu.Anaandika Boniface Mwambukusi
==
KUMCHAGUA TL ni KUVAA MWILI MPYA USIO HARIBIKA.
Mzee Kingunge aliwahi kumwambia Mrema wakati wa Kipindi cha Kitimoto miaka hiyo kwamba " Usipong'atuka Utang'atuliwa" au "Usipobanduka Utabanduliwa"
Mabadiliko ya uongozi wa juu katika vyama vya kidemokrasia vya upinzani ni muhimu kwa sababu mbalimbali, ikiwemo:
1. Kuimarisha Demokrasia ya Ndani ya Vyama
Uongozi wa mzunguko unasaidia kuhakikisha kuwa vyama vinaendeshwa kwa misingi ya demokrasia. Kubadilisha viongozi huzuia udikteta wa viongozi wa muda mrefu na kuimarisha utamaduni wa uwajibikaji na usawa.
2. Kuleta Mawazo na Mikakati Mipya
Uongozi mpya huleta mawazo mapya, mitazamo mipya ya kisiasa, na mikakati bora ya kushindana na vyama tawala. Hii huimarisha nafasi ya vyama vya upinzani kufanikisha malengo yao ya kisiasa.
3. Kujenga Imani kwa Wanachama na Jamii
Wanachama wa vyama na umma kwa ujumla wanahitaji kuona vyama vya upinzani vikiendeshwa kwa uwazi. Mabadiliko ya uongozi huonyesha kuwa chama kinasikiliza wanachama wake na kipo tayari kubadilika kwa maslahi ya wengi.
4. Kupunguza Migogoro ya Ndani
Mara nyingi, uongozi wa muda mrefu unaweza kusababisha migogoro ya ndani ya vyama, hasa pale ambapo wanachama wanahisi kuwa hawapewi nafasi ya kushiriki katika uongozi. Mabadiliko ya uongozi huleta upatanisho na mshikamano wa chama.
5. Kuchochea Hamasa kwa Wanachama Wapya
Uongozi mpya unaweza kuwa kichocheo kwa wanachama wapya kujiunga na chama na wale wa zamani kuongeza nguvu ya kushiriki kikamilifu. Pia huimarisha ushawishi wa chama kwa vijana na makundi mengine katika jamii.
6. Kuboresha Taswira ya Chama
Vyama vya upinzani vinapofanya mabadiliko ya uongozi wa juu kwa njia ya kidemokrasia, vinaonekana kama mfano bora wa uongozi wa uwazi na wa kisasa. Hii husaidia kuvutia wapiga kura na kuimarisha nafasi yao kisiasa.
7. Kuweka Msingi wa Uongozi Endelevu
Mabadiliko hutoa fursa ya kuandaa viongozi wapya watakaorithi nafasi za uongozi wa juu. Hii ni muhimu kwa ustawi wa muda mrefu wa vyama vya upinzani, hasa katika mazingira yanayobadilika kisiasa.
Kwa ujumla, mabadiliko ya uongozi katika vyama vya kidemokrasia vya upinzani yanasaidia kujenga vyama vyenye nguvu, vinavyoshindana kwa ufanisi, na kushawishi mabadiliko ya kweli katika mifumo ya utawala.
View attachment 3189590
BAK Mwabukusi
Shambani Busokelo.
Ni kauli ya TLS.Hujajibu swali pangu.
Sijauliza kama kazi ya TLS imemshinda au haijamshinda.
Nimeuliza hii kauli ni msimamo wa TLS au wake binafsi?
Wapi imethibitishwa hivyo?Ni kauli ya TLS.
Losu apewe ushindi wa mezani?
Mbowe for life mbowe the freedom fighterAshindanishwe na mgombea/wagombea wengine yeyote yule isipokuwa mbowe apumzishwe hata kwa lazima miaka 21 inamtosha hana jipya tena aache ulafi wa madaraka!.
kwa mtazamo wake...Mbowe haondoki kama kinakufa kife , kitajengwa upyaAnaandika Boniface Mwambukusi
==
KUMCHAGUA TL ni KUVAA MWILI MPYA USIO HARIBIKA.
Mzee Kingunge aliwahi kumwambia Mrema wakati wa Kipindi cha Kitimoto miaka hiyo kwamba " Usipong'atuka Utang'atuliwa" au "Usipobanduka Utabanduliwa"
Mabadiliko ya uongozi wa juu katika vyama vya kidemokrasia vya upinzani ni muhimu kwa sababu mbalimbali, ikiwemo:
1. Kuimarisha Demokrasia ya Ndani ya Vyama
Uongozi wa mzunguko unasaidia kuhakikisha kuwa vyama vinaendeshwa kwa misingi ya demokrasia. Kubadilisha viongozi huzuia udikteta wa viongozi wa muda mrefu na kuimarisha utamaduni wa uwajibikaji na usawa.
2. Kuleta Mawazo na Mikakati Mipya
Uongozi mpya huleta mawazo mapya, mitazamo mipya ya kisiasa, na mikakati bora ya kushindana na vyama tawala. Hii huimarisha nafasi ya vyama vya upinzani kufanikisha malengo yao ya kisiasa.
3. Kujenga Imani kwa Wanachama na Jamii
Wanachama wa vyama na umma kwa ujumla wanahitaji kuona vyama vya upinzani vikiendeshwa kwa uwazi. Mabadiliko ya uongozi huonyesha kuwa chama kinasikiliza wanachama wake na kipo tayari kubadilika kwa maslahi ya wengi.
4. Kupunguza Migogoro ya Ndani
Mara nyingi, uongozi wa muda mrefu unaweza kusababisha migogoro ya ndani ya vyama, hasa pale ambapo wanachama wanahisi kuwa hawapewi nafasi ya kushiriki katika uongozi. Mabadiliko ya uongozi huleta upatanisho na mshikamano wa chama.
5. Kuchochea Hamasa kwa Wanachama Wapya
Uongozi mpya unaweza kuwa kichocheo kwa wanachama wapya kujiunga na chama na wale wa zamani kuongeza nguvu ya kushiriki kikamilifu. Pia huimarisha ushawishi wa chama kwa vijana na makundi mengine katika jamii.
6. Kuboresha Taswira ya Chama
Vyama vya upinzani vinapofanya mabadiliko ya uongozi wa juu kwa njia ya kidemokrasia, vinaonekana kama mfano bora wa uongozi wa uwazi na wa kisasa. Hii husaidia kuvutia wapiga kura na kuimarisha nafasi yao kisiasa.
7. Kuweka Msingi wa Uongozi Endelevu
Mabadiliko hutoa fursa ya kuandaa viongozi wapya watakaorithi nafasi za uongozi wa juu. Hii ni muhimu kwa ustawi wa muda mrefu wa vyama vya upinzani, hasa katika mazingira yanayobadilika kisiasa.
Kwa ujumla, mabadiliko ya uongozi katika vyama vya kidemokrasia vya upinzani yanasaidia kujenga vyama vyenye nguvu, vinavyoshindana kwa ufanisi, na kushawishi mabadiliko ya kweli katika mifumo ya utawala.
View attachment 3189590
BAK Mwabukusi
Shambani Busokelo.
Haondoki mtu, acha kife kutajengwa upya..... acha kifeAshindanishwe na mgombea/wagombea wengine yeyote yule isipokuwa mbowe apumzishwe hata kwa lazima miaka 21 inamtosha hana jipya tena aache ulafi wa madaraka!.
Nyumbu wa Sultan Mbowe mna utiifu sana kwa boss wenu akiguswa tu lazima mpige mayowe utafikiri mumewekwa la kati vile.Angojee abanduliwe yeye TLS
Kwani umeona letter head ya TLS hapo?Huu ni msimamo rasmi wa TLS kama taasisi au wa Mwabukusi kama mtu binafsi?
Nimetaka jibu, si swali.Kwani umeona letter head ya TLS hapo?
Mbona maccm hadi hela yanatoa kumfadhili Sultan Mbowe na hamhoji?Yuko NCCR mambo ta CDM hayamhusu.
Ni msimamo wake binafsi.Nimetaka jibu, si swali.
Hadi sasa ni wawili tuu ndo wametia nia ya kumbandua Mbowe.Na mimi niko tayari kumbandua mbowe