goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,845
- 13,072
- Thread starter
- #241
Nimemuagiza wife aniletee Kisha nijipake nipate kibali niendako ukoHayo mafuta yanasaidia nini?
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimemuagiza wife aniletee Kisha nijipake nipate kibali niendako ukoHayo mafuta yanasaidia nini?
Hatafunwi mtu wife ameokoka haswa amenibadilisha San mm kwa maombi na maji na mafuta ya mwamposasiku akija na mafuta na hukumpa hela .......subiri manyoya...
Kila siku tangazo Hilo lipo na siyo la jus Wala nn ni la muda San na mm nimeenda had kukanyaga mafuta na sikupewe nilijinunulia mafuta yangu Kisha nikakanyaga nikarud na yaliobakiHuwa nafuatilia, utakuta siku ya mafuta, ndani ya ibada, utasikia "usipake hayo mafuta mpaka niwaambie", hapo ibada inaendelea na huwa yanagawiwa kama keki siku ya keki ikitangazwa. Swali kwako mleta mada, je hapo ibadani wanalipia?
Usikurupuke kumshambulia mtu kabla hujachunguza zaidi. Siku ya mafuta bure huwa inatangazwa, vinginevyo utanunua nje kwa kuwa sio kila ibada mafuta yanatolewa bure
Acahna na mabeberu Babu hao wako frasturated mno so we usjili mm sawa sijakata tamaa na maisha yanaenda nafurahia tu kwa kuwa watu wanamrudia mungu waislamunl na wakristoAnaesali kwa Mwamposa ni mwanaume dhaifu asiyejua kuwa maisha ni kupambana. Mwanaume anaesubiri kupewa Kila kitu, haishi kulalamikia marafiki zake na ndugu zake. Ana Imani jamii yake imemloga. Amekata tamaa na Maisha. Sasa kaa chini ujiulize wewe ni mwanaume wa aina hii au ? Nakupa link ya video hii hapa chini ya Jordan Bernt Peterson ni Clynical Pschycologist anafanya uchambuzi wa nilichosema.
Tatizo ametangaza ktk matangazo kuwa anagawa buree kbsaaNauli ya bus toka mkoani unayo ya daladala unayo pesa ya kununua Maji ya kunywa unayo unakosaje sasa pesa ya kununua upako.
Ametangaza sasa hata leo sikiliza utasikia akisema mtume atagawa mafuta bureeSAsa hakupe bure kwani yeye anayapata bure.
Sas mtu anajita mungu mfalme mnk nn wake ndani huyo anapotosha snaa na kugushi neno la munguKosa la zumarid ni kutowashika mjini walamba asali angekula nao jela ingemuogopa.
Hakuna bure kwa maana hata yeye apati bure viwandani hayo mafuta. Sadaka anaingiza ngapi kwa siku na zinatosha kufidia mafutaAmetangaza sasa hata leo sikiliza utasikia akisema mtume atagawa mafuta buree
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Huyu mm siwez Seema lolote mnk sijawi kwenda kanisan kwake ingawa napafahamu had kwake had mji wa daudi tuna shmba pale so siwez msemeaMwingine huyu hapa anagawa pesa kwa watoto.
Hakuna pesa ya bure hapo,kila jambo lipo calculated in spiritual meaning.Mungu awafumbue macho vipofu
Bas sawa hkn shida namshukuru kwa kunidanfanya mm kuwa aatanipatia mafuta bureHakuna bure kwa maana hata yeye apati bure viwandani hayo mafuta. Sadaka anaingiza ngapi kwa siku na zinatosha kufidia mafuta
Lugha za biashara hizoBas sawa hkn shida namshukuru kwa kunidanfanya mm kuwa aatanipatia mafuta bure
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kijana tafuta pesa usitafute maneno.Sawa Babu lkn siyo sawa Babu mtu mzima Kama wewe utoe maneno hayo adharani au ujalipwa pesion zako nnn au na una frasturation zako nn babu zinakusumbua Kia's utukane Kia's hiki
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ana watu wengi huko, Mwamposa ndio habari ya mjini
Sawa Babu nitakutokea usku wa leo nikupake mafutaKijana tafuta pesa usitafute maneno.
Ukiendelea hivyo utaishia kumiliki Infinix maisha yako.
Mm nakula pensheni yangu baada ya kulitumikia taifa kwa umahiri mkubwa sina presha nawazoom tu wajukuu.
Kwako Mtume na nabii Boniface mwamposa naomba sana sana urekebishe tangazo lako la kwenye radio kwani lmeleta upotoshaji mkubwa Sana ,unasema nanukuu.
"Mtume atagawa mafuta bureee kabisa", wakiti siyo Kweli maji na mafuta yanauzwa tena wauzaji wana kiburi sana kinachopatikan pale bure ni keki tu
Sina shida na wew kbsa ila unaleta taharuki mtu anatoka huko mkoani au hapa hapa DSM anakuja unamleta pale alfu anafika anajuwa kbsa kuwa mafuta Ni bure na tangazo amelisikia vzr kuwa mtume atagawa mafuta na maji buree wkt kiuhalisia maji na mafuta yanauzwa elf 1000.
Hili linakuaribia sana kwani watu wanasikia matangazo yako wanamiminika kanisani kwako wakifika pale maskni hawana hela za kununua mafuta tunaishia kugawana mafuta na hii hutokea Mara nyingi ktk siku za kuganyaga mafuta siyo sawa naomba utoe hicho kipengele Cha kugawa mafuta bure kwani hatupewi na tunajibiwa vby na wauuza mafuta.
@yakodaya
Baada ya kusema hayo nawasilisha
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Watanzania mnadanganywa sana na miujiza, hawa watu wanapata utajiri kupitia nyinyi kwa kufanya mauzo ya vitu tena hata hawavilipii kodi (sadaka zenu, mafuta, maji, vitambaa) - akili zimechotwa! imani yako ni kubwa sana pale pale ulipo sio kwa akina mwamposa. huu ujumbe uwafikie wanawake na mabinti maana ndo wachotwa akili wakubwa.Kwako Mtume na nabii Boniface mwamposa naomba sana sana urekebishe tangazo lako la kwenye radio kwani lmeleta upotoshaji mkubwa Sana ,unasema nanukuu.
"Mtume atagawa mafuta bureee kabisa", wakiti siyo Kweli maji na mafuta yanauzwa tena wauzaji wana kiburi sana kinachopatikan pale bure ni keki tu
Sina shida na wew kbsa ila unaleta taharuki mtu anatoka huko mkoani au hapa hapa DSM anakuja unamleta pale alfu anafika anajuwa kbsa kuwa mafuta Ni bure na tangazo amelisikia vzr kuwa mtume atagawa mafuta na maji buree wkt kiuhalisia maji na mafuta yanauzwa elf 1000.
Hili linakuaribia sana kwani watu wanasikia matangazo yako wanamiminika kanisani kwako wakifika pale maskni hawana hela za kununua mafuta tunaishia kugawana mafuta na hii hutokea Mara nyingi ktk siku za kuganyaga mafuta siyo sawa naomba utoe hicho kipengele Cha kugawa mafuta bure kwani hatupewi na tunajibiwa vby na wauuza mafuta.
@yakodaya
Baada ya kusema hayo nawasilisha
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app