Boniface Mwamposa rekebisha tangazo lako la kugawa mafuta bure, mafuta tunanunua

Boniface Mwamposa rekebisha tangazo lako la kugawa mafuta bure, mafuta tunanunua

Huwa nafuatilia, utakuta siku ya mafuta, ndani ya ibada, utasikia "usipake hayo mafuta mpaka niwaambie", hapo ibada inaendelea na huwa yanagawiwa kama keki siku ya keki ikitangazwa. Swali kwako mleta mada, je hapo ibadani wanalipia?
Usikurupuke kumshambulia mtu kabla hujachunguza zaidi. Siku ya mafuta bure huwa inatangazwa, vinginevyo utanunua nje kwa kuwa sio kila ibada mafuta yanatolewa bure
Kila siku tangazo Hilo lipo na siyo la jus Wala nn ni la muda San na mm nimeenda had kukanyaga mafuta na sikupewe nilijinunulia mafuta yangu Kisha nikakanyaga nikarud na yaliobaki

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Anaesali kwa Mwamposa ni mwanaume dhaifu asiyejua kuwa maisha ni kupambana. Mwanaume anaesubiri kupewa Kila kitu, haishi kulalamikia marafiki zake na ndugu zake. Ana Imani jamii yake imemloga. Amekata tamaa na Maisha. Sasa kaa chini ujiulize wewe ni mwanaume wa aina hii au ? Nakupa link ya video hii hapa chini ya Jordan Bernt Peterson ni Clynical Pschycologist anafanya uchambuzi wa nilichosema.

Acahna na mabeberu Babu hao wako frasturated mno so we usjili mm sawa sijakata tamaa na maisha yanaenda nafurahia tu kwa kuwa watu wanamrudia mungu waislamunl na wakristo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mwingine huyu hapa anagawa pesa kwa watoto.
Hakuna pesa ya bure hapo,kila jambo lipo calculated in spiritual meaning.Mungu awafumbue macho vipofu
Huyu mm siwez Seema lolote mnk sijawi kwenda kanisan kwake ingawa napafahamu had kwake had mji wa daudi tuna shmba pale so siwez msemea

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Sawa Babu lkn siyo sawa Babu mtu mzima Kama wewe utoe maneno hayo adharani au ujalipwa pesion zako nnn au na una frasturation zako nn babu zinakusumbua Kia's utukane Kia's hiki

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kijana tafuta pesa usitafute maneno.
Ukiendelea hivyo utaishia kumiliki Infinix maisha yako.
Mm nakula pensheni yangu baada ya kulitumikia taifa kwa umahiri mkubwa sina presha nawazoom tu wajukuu.
 
Kijana tafuta pesa usitafute maneno.
Ukiendelea hivyo utaishia kumiliki Infinix maisha yako.
Mm nakula pensheni yangu baada ya kulitumikia taifa kwa umahiri mkubwa sina presha nawazoom tu wajukuu.
Sawa Babu nitakutokea usku wa leo nikupake mafuta

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kwako Mtume na nabii Boniface mwamposa naomba sana sana urekebishe tangazo lako la kwenye radio kwani lmeleta upotoshaji mkubwa Sana ,unasema nanukuu.

"Mtume atagawa mafuta bureee kabisa", wakiti siyo Kweli maji na mafuta yanauzwa tena wauzaji wana kiburi sana kinachopatikan pale bure ni keki tu

Sina shida na wew kbsa ila unaleta taharuki mtu anatoka huko mkoani au hapa hapa DSM anakuja unamleta pale alfu anafika anajuwa kbsa kuwa mafuta Ni bure na tangazo amelisikia vzr kuwa mtume atagawa mafuta na maji buree wkt kiuhalisia maji na mafuta yanauzwa elf 1000.

Hili linakuaribia sana kwani watu wanasikia matangazo yako wanamiminika kanisani kwako wakifika pale maskni hawana hela za kununua mafuta tunaishia kugawana mafuta na hii hutokea Mara nyingi ktk siku za kuganyaga mafuta siyo sawa naomba utoe hicho kipengele Cha kugawa mafuta bure kwani hatupewi na tunajibiwa vby na wauuza mafuta.

@yakodaya

Baada ya kusema hayo nawasilisha

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app

Na hayo mafuta anayatoa wapi? Ni mafuta yaliyotengenezwa kutoka kitu gani!
 
Kwako Mtume na nabii Boniface mwamposa naomba sana sana urekebishe tangazo lako la kwenye radio kwani lmeleta upotoshaji mkubwa Sana ,unasema nanukuu.

"Mtume atagawa mafuta bureee kabisa", wakiti siyo Kweli maji na mafuta yanauzwa tena wauzaji wana kiburi sana kinachopatikan pale bure ni keki tu

Sina shida na wew kbsa ila unaleta taharuki mtu anatoka huko mkoani au hapa hapa DSM anakuja unamleta pale alfu anafika anajuwa kbsa kuwa mafuta Ni bure na tangazo amelisikia vzr kuwa mtume atagawa mafuta na maji buree wkt kiuhalisia maji na mafuta yanauzwa elf 1000.

Hili linakuaribia sana kwani watu wanasikia matangazo yako wanamiminika kanisani kwako wakifika pale maskni hawana hela za kununua mafuta tunaishia kugawana mafuta na hii hutokea Mara nyingi ktk siku za kuganyaga mafuta siyo sawa naomba utoe hicho kipengele Cha kugawa mafuta bure kwani hatupewi na tunajibiwa vby na wauuza mafuta.

@yakodaya

Baada ya kusema hayo nawasilisha

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Watanzania mnadanganywa sana na miujiza, hawa watu wanapata utajiri kupitia nyinyi kwa kufanya mauzo ya vitu tena hata hawavilipii kodi (sadaka zenu, mafuta, maji, vitambaa) - akili zimechotwa! imani yako ni kubwa sana pale pale ulipo sio kwa akina mwamposa. huu ujumbe uwafikie wanawake na mabinti maana ndo wachotwa akili wakubwa.
 
Back
Top Bottom