Hao wana zaidi ya bil kama 17 each.
Yericko Nyerere hadi States wanamtambua kwa ubilionea wake unaotokana na kuandika vitabu vya kijasusi vilivyokubalika hadi Library ya Congress, isitoshe anafanya organic farming hapo Mbutu na kuexport fresh vegetable kwenda mambele huko.
Malisa ni Advocate Msomi anayejiingizia kipato kilichompa ubilionea kwa kazi zake. Pia anaingisha madolari kibao kwa contents zake huko mtandaoni
Kwa kifupi vijana wa CHADEMA ni mabilionea na kazi zao ni halali zinazojulikana. Ila wale wa chawa wa kijani wao ni uchawa tu kuanzia Jan to Dec 24/7 hamna kitu kabisa zaidi ya kutukana watu wazima na kulewa hovyo
Karibu Chugaland