Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,125
- 7,373
[/FONT]Kwa hli bro omba msamaha umeharibu et mistar yako ina thaman kuliko bikira ya maria hii cio ki2 kizur
amekulipa tsh ngapi kuja kuweka hii thread hapa??
ni yule mkali wa hiphop ya ukweli BONTA A.K.A maarifa,mkali huyu utumia lugha yenye kufikilisha kwenye tungo zake,hakika hana mpinzani kwa sasa..ametoa ngoma mpya inaitwa MATUSI..
arifu nafikiri una matatizo kidogo kwenye uuelea wako....heading umesema katoa matusi..afu then tena..great sinker wa jf aiseekuna mstari kawaita'ngamia wa kijani na njano' pia kalalamikia kuuza wanyama wetu ulaya.big up bonta we mkale.
Mi mwenyewe simfahamu!! promo nyigine bhana.kha!mi hata simjui, anapatikana wapi?
Mi mwenyewe simfahamu!! promo nyigine bhana.kha!
MP.
Unajua m2 acye heshmu iman ya mwingne mi cmkubal kabisa hatakama ni wa din mojampuuz huyu.
hebu elezeni vizuri!!
What happened!
C kwenye huo wimbo wake wa matusi kuna mstar unase"mistar yangu ina thaman kuliko bikira ya maria"alafu alvyoambiwa ajieleze kwenye power breakfast ya clouds akaanza kuelezea mambo ya marie stoppers hakuna cha maana alichosema