Tumepiga kelele weee kwa kutizama yanayotukia mitaa mingine ya dar, tukimsihi mwenyekiti kuanzisha ulinzi shirikishi mtaani kwa wasio na mda wa kulinda kuchangia na wasiopenda kuchangia kupangiwa zamu za kulinda wenyewe wala mwenyekiti hana habari.
Tunaomba viongozi watusaidie
kinga ni bora kuliko tiba na tunataka viongozi wanaowajibika. Tunataka tujilinde wenyewe ila kwa kuwekewa utaratibu unaotambulika kisheria na serikali ya mtaa
Tunaomba viongozi watusaidie
kinga ni bora kuliko tiba na tunataka viongozi wanaowajibika. Tunataka tujilinde wenyewe ila kwa kuwekewa utaratibu unaotambulika kisheria na serikali ya mtaa