Book reading: Unasoma au Umesoma kitabu gani ungependa wengine wakisome?

The DaVinci Code by Dani Brown, Kwaheri ukoloni kwaheri uhuru by Harith Ghasan, The Broker,Master of the game by Sydney Sheldon, The assassin by Tom Cain.
 
Vitabu vifuatavyo sikuweza kumaliza kuvisoma, nitaanza navyo Jan, 2016:

1. God's Plans for Your Finances - Dwight Nichols,
2. Leaders For Today Hope For tomorrow - Anthony D'Souza,
3. Mankind's Search For GOD - WTB,
4. Here's Help! - M.R. Kopmeyer,
5. The Tropical Agriculturalist - Poultry, Anthony J. Smith,
6. FAQs about Psychology - Michael Atkinson.
 
Superb.....mimi mwenyewe nimeshaanza kuisoma na nimepanga mpaka 2020 niwe nimeielewa na kuimaliza na naamini Mungu ataniongoza katika hili

Kuna kitabu ambacho ni ka mwongozo wa kuijua biblia kinaitwa JE BIBLIA INAFUNDISHA NINI HASA ni kizuri sana mkuu
Hiki ndo kitabu bora zaidi nilichowahi kusoma maishani mwangu
Kuna kingine pia kinaitwa
JE KUNA MUUMBA ANAYEKUJALI? Kimechambua sayansi kiustadi na kwa lugha nyepesi
 
labda uanze na animal farm cha george orwell

Mkuu hichi kitabu nilibahitika kusoma ile version ake ya kiswahili nikiwa darasa la 6 lkn sikukimalizia majuzi nimeamua kukitafuta ila hakionekani angalau nipate hata softcopy ake
 
 
Nina mwezi wa pili sasa bado napambana na Think Big cha Ben ndo nipo katikati,heri wewe unaevifuta faster
hongera sana. Taratibu taratibu utajikuta wiki 1 unamaliza kitabu tena na kuna wakati utakuwa unajilazimisha kukiweka chini. Niliwahi kusoma "the long walk to freedom" cha mandela kwa siku 3. Nikasoma "the purpose driven life" cha rick warren ukurasa mmoja wiki, mara niruke niende ukurasa flani baadae nikakitelekeza bila kumaliza hata sura moja. Nilikuja kukirudia miaka miwili baadae baada ya kuanza bible study na kuelewa philiosphy ya rick warren ya maisha kwenye kile kitabu ilitoka wapi. Nadhani muda mtu anaotumia kusoma kitabu pia unategemea relevance ya kitabu husika kwenye maisha ya mtu, kiwango cha kuelewa n.k.
 
Mwaka huu nimeshasoma vitabu zaidi ya ishirini
 
Nimesoma soil mechanics, nkasoma fluid mechanics na fundamental for pavement design na vingine vingi sana
 
vitabu vizuri sana. siku hizi nimeachaa kusoma vitabu vya mashahidi. ngoja mwakani nianze tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…