Book reading: Unasoma au Umesoma kitabu gani ungependa wengine wakisome?

Book reading: Unasoma au Umesoma kitabu gani ungependa wengine wakisome?

Breaking the Curses of Life.... By Dr. David O. Oyedepo

31glXUx6enL._SY400_.jpg
 
Kwa Uzi huu nimeelewa kwann walisema ukitaka Kumficha Mbongo ficha kitu kwenye Kitabu! Anyway my best book is "The Measure of A Man" Martin Luther King.. The Very few Pages you'll never regret reading
d9012db3d036ffbceb763982f7145d80.jpg
Nakipataje
 
nilisoma vitabu viwili nikiwa mwaka wapili katika masomo yangu udsm.

download.jpg

na
images.jpg

hakika vitabu hivi vilinigenga sana. niliamua kuanza kujiandaa na ujasiliamali ili nikihitimu nijiajili.
vilifaulu kubadili matazamo wangu completely. nilihitimu masomo yangu mwaka 2013 hapo udsm. hadi leo sijarudi hata kuchua provion result za chuo kwa maana hata sijawahi kuomba kazi toka nihitimu. nilikutana na magumu sana katika shuguli zangu.
mwaka 2015 nikawa ugungo mataa nikakutana na kitabu kimoja kinaitwa richest man in babylon nikanunua
kilinijenga kwa kiwango ninamshukulu Mungu hadi sasa sioni company wala shilika la linaloweza nilipa mshahala kwa kiwango cha kukatisha kufuata ndoto yangu. japokuwa sasa bado sijafanikiwa kipesa ila kimutazamo nipo vizuri

images (1).jpg

nawaasa vijana wenzangu tusome vitabu mimi vimebadilsha mtazamo wangu kutokana na vitabu hivi.
 
nilisoma vitabu viwili nikiwa mwaka wapili katika masomo yangu udsm.

View attachment 536867
na
View attachment 536868
hakika vitabu hivi vilinigenga sana. niliamua kuanza kujiandaa na ujasiliamali ili nikihitimu nijiajili.
vilifaulu kubadili matazamo wangu completely. nilihitimu masomo yangu mwaka 2013 hapo udsm. hadi leo sijarudi hata kuchua provion result za chuo kwa maana hata sijawahi kuomba kazi toka nihitimu. nilikutana na magumu sana katika shuguli zangu.
mwaka 2015 nikawa ugungo mataa nikakutana na kitabu kimoja kinaitwa richest man in babylon nikanunua
kilinijenga kwa kiwango ninamshukulu Mungu hadi sasa sioni company wala shilika la linaloweza nilipa mshahala kwa kiwango cha kukatisha kufuata ndoto yangu. japokuwa sasa bado sijafanikiwa kipesa ila kimutazamo nipo vizuri

View attachment 536874
nawaasa vijana wenzangu tusome vitabu mimi vimebadilsha mtazamo wangu kutokana na vitabu hivi.
Nakubaliana na wewe mkuu 100%
Nimesoma vitabu vya Robert kiyasoki jamaa kiufupi anaandika siyo siri baadhi ya vitabu ambavyo nimesoma vyake ni ;-
1.RICH DAD POOR DAD
2.RICH DAD CASHFLOW QUANDRANTS
3.RICH DAD CONSPIRANCY OF THE RICH
Ukiachana na robert kiyasoki
kuna baadhi ya vitabu ambavyo mpaka leo naendelea kurudia kuvisoma ni;-
1.CURRENCY TRADING FOR DUMMIES by Brian Dolan
2.Na vingine lukuki
upload_2017-7-6_12-34-47.png
 
Back
Top Bottom