Chiwaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 5,726
- 3,778
Vipo, tafuta bookshop kubwa za DarHivi hii kitu bado inapatikana kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipo, tafuta bookshop kubwa za DarHivi hii kitu bado inapatikana kweli?
Jaribu kucheki na wauza vitabu wa dar, mimi nilikinunua kariakoo kwa muuza vitabu aliye karibu na Club ya Simba. Jaribu kwa wauza vitabu mbalimbali mkuu. Mi kuna mtu nimemuazima, naona anagoma kunirudishia.Mkuu tafadhali naomba namm hizo contacts ili nipate hiyo collection ya "jitambue" ya Munga Tehenan MUNGU amrehemu sana,.magazeti yake ya jitambue na mshauri wako ninayo mpka leo(baadhi)kwa kumbukizi zake zisizochosha na kuisha hamu alikuwa na vitu adimu saana..
HahahaaaWengine huwa wanasoma tu Fonti Fedi
Wewe mwenyewe ushawahi kuandika au huna cha kuandika!?Mimi sio ngwini hay ni maneno yalisikika kutoka kwa the so called "mwanasayansi". Hivi Kuna hata mmoja ameabdika short stories za inspiration.
Achana na mimi katafute likes kwenye Uzi wako.Wewe mwenyewe ushawahi kuandika au huna cha kuandika!?
Yaani wewe ni scholar! Dah sasa mbona kule umeongea vitu ambavyo hata darasa la saba hawezi kuachangia! Mungu atusaidie kwa kweli.Achana na mimi katafute likes kwenye Uzi wako.
Frankly I have two papers in accredited journal concerning on Science and Engineering.How about you dude?Unabahati natumia anonymous name ningekupa link google scholar.
Kumbe nabishana na zuzu.Hujui hata "Google Scholar". Mwanzo Na mwisho don't quote me in your nonsense.Yaani wewe ni scholar! Dah sasa mbona kule umeongea vitu ambavyo hata darasa la saba hawezi kuachangia! Mungu atusaidie kwa kweli.
Nashukuru mkuu
Nakipataje
wiki hii nimesoma kitabu maarufu sana kwa sasa, kiitwacho NDOA YANGU, NINGEJUA. Nimekipenda sana kwa sababu kinaeleza kwa kinagaubaga kwa nini ndoa nyingi hazina amani. Kwa kweli kimenigusa kwa sababu kuna sehemu mtunzi ameeleza historia ya ndoa yangu utadhani ananijua, na hasa zaidi maswali aliyouliza: 1. KAMA UNGEJUA MKEO AMA MUMEO ATAKUWA NA TABIA ALIYO NAYO SASA, JE UNGEKUBALI KUOANA? swali hili ni zuri kwa sababu kwangu mimi nisingekubali, na hata mke wangu alipojibu swali hili, nae akasema asingekubali. Ukweli kitabu hiki ni kiboko, na ingawa nimekiazima, kwa kweli sitamrudishia mwenyewe, nataka nikisome zaidi na zaidi nitambue makosa yangu na huenda kikanisaidia pia katika kuwashauri wenzangu.
Kitabu cha pili nilichosoma kinaitwa MY DEAR BOTTLE, ukianza kukisoma andaa mbavu zako, maana kinaonyesha jinsi ambavyo pombe kumfanya mtu akapoteza utu wake na thamani kwa wengine