donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
kaka mambo vipi...?Between The World and Me by Ta-Ne
hisi Coates.
Black consciousness that reminds me of Alex Haley's "The Autobiography of Malcolm X".
Poa tu, vipi za siku?kaka mambo vipi...?
Poa-poa aisee..Poa tu, vipi za siku?
hebu fanya kutoa msaada kukiweka hapa kama unacho mkuu.The 11th commandment by Jeffrey Archer, kama umeshaona series ya 24 basi hiki kitabu utakiona kitamu kama ubwabwa kambale
Hahaha!!Kitabu kikubwa na cha wakati wote ni mwili wako. Ukiweza kuufahamu, huna sababu ya mavitabu yasiyoisha kutungwa
hebu fanya kutoa msaada kukiweka hapa kama unacho mkuu.
"Series" ni vitu Mpaka sasa vinanipa wakati mgumu kivitazama.The 11th commandment by Jeffrey Archer, kama umeshaona series ya 24 basi hiki kitabu utakiona kitamu kama ubwabwa kambale
"Series" ni vitu Mpaka sasa vinanipa wakati mgumu kivitazama.
Huku Mtaani Wadau wanapenda hizo Mambo.
Nilipata kiutazama Series ya "Jumong" Tena baada ya kuona Wanafunzi Nikiwa O-level Wenzangu wanaishabikia sana hasa Weekend.
Kuna Mabrother kama watatu Walikuwa A-level nilikuwa nakaao nao wao pia walikuwa Wanaipenda,
Nakiona hapo sasa labda nakosa burudani,ndiposa nikaenda kuitazama.. Ilinishinda niliwaacha waendelea na series yao.
Mwaka Jana kuna "series" Moja ya Unyoya unapepea Angani Ya Wachina hii ndio niliimaliza na hii ni baada ya kunikuta nimemaliza kusoma kitabu cha NOTHING TO ENVY BY BArbara Deminick.
Nothing To Envy kinaelezea Maisha ya korea kaskazini na Utawala Wake,
Kitabu kizuri sana...Kwa kiasi flani wale Waliopata kuishi na kuona Utawala wa Jk Nyerere kuna mambo kadhaa utayapata kuyaona yanafanana...Socialism/Communist.
"Unyoya unapepea angani" inaonyesha pia njisi china ilivyofanya mabadiliko ya kiuchumi Kuzibaziba Mashimo/Mapungufu ya mfumo wa Awali...bila kusahau kupambana na Bidhaa feki sokoni.
Mfano Daktati feki,Maabara feki,Dawa Feki (Ukajanja) & Nguo,Vifaa vya Electronic n.k
Nilivyoona Jina la Jeffrey linataka kufanana na Jeffrey Sachs..The 11th commandment by Jeffrey Archer, kama umeshaona series ya 24 basi hiki kitabu utakiona kitamu kama ubwabwa kambale
Mkuu hii mishale ya kidini, mapenzi au siasa ? Ili nami nijitose kukisoma
Komitet Gorstivenoy Bezopasnost a.k.a KGBHi,
I used to think that reading was boring until I found books that really sparked my interest. Reading became important to me because it’s fun and it teaches me new things. It keeps my mind active and inshape and it makes a difference for me if I go long periods without reading books, my mind starts to stagnate.
My favorite book of all the time is East of Eden by John Steinbeck. I liked this book and I loved every page of it. To be honest this is a masterpiece. To this day still is one of the best motivational book I’ve ever read. I enjoyed it for the massages it provides. I have been reading the book and just got to these quotes “And now that, you don’t have to be perfect you can be good.” And “ If you want to be straight allow yourself to be crooked” etc. Truthfully this book gave me a little inspiration to pursue my goals.
Another one is The Hitchhiker’s Guide to the Galaxy by Douglas Adams. It’s the funniest book I have ever read. I’ve read the book many times, but still makes me laugh. I will share favorite part that I found myself re-reading, you know, Said Arthur,” It's at times like this when I m trapped in a Vogon...... And about to die of asphyxiation in deep space that I really wish I’d listened to what my mother told me when I was young”
“Why, what did she tell you?”
Arthur “ I don’t know, I didn’t listen”.
It’s so insanely funny and It reminds me that you shouldn’t take life so damn seriously.
Do you have any favorite book(s) you real like? Tell us about it, based on how good the book was, and why you think it was the best, what is the favorite part in it?
For those who don’t like reading, y'all should know that reading is the good way to learn new things, to see things in another perspective and to expand your creativity and linguistic skills.
Welcome guys.
G’day.
Kitabu kikubwa na cha wakati wote ni mwili wako. Ukiweza kuufahamu, huna sababu ya mavitabu yasiyoisha kutungwa
The 11th commandment by Jeffrey Archer, kama umeshaona series ya 24 basi hiki kitabu utakiona kitamu kama ubwabwa kambale
Komitet Gorstivenoy Bezopasnost a.k.a KGB
The whole Russian intelligence lies in this novel
Mkuu nashukuru sana kwa ufuatiliaji wako. Unanipa sababu ya kuandika zaidi.Poa-poa aisee..
Juzi nilikuona Ulimtaja Ben Shapiro...
Ikibadidi niingie kumtazama Jamaa huyo..
Aiseee Kweli ni "Mhafidhina" Haswa..
Nilipitia vitabu vyake -Porn Generation & Brain Washed.
Nikaingia quora walau nipate Machache yake..
Nilichonivutia kwake na Uandishi wa vitabu akiwa bado kijana mdogo..
Nadhani kama nipo sahihi kaanza kuandika vitabu yupo Na Miaka 19/20....
Asante kwa Mfahamu..
Swali kwako...Vipi Ushawahi kuaandika kitabu chochote kile...?
Sina ufafanuzi ninaodhani unaoweza kukusaidiaMkuu, kwa heshima na taadhima, nakuomba ufafanue zaidi
I am flattered, Nowonmai.
Kindly suggest me a must read book that you highly recommend.
I missed you too.