Sio kweli bibie. Au kuna kitu nimekosea katika hayo niliyo yaandika ? Kama nimekosea nisahihishe kisha nitakiri kosa.[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]unapenda ubishi kama kula.
Kicheko tuu kama hivi[emoji13][emoji13]
J.K Nyerere alivyokuwa The University of Edinburgh , alisoma sana kazi za John Stuart Mill. Hususan kuhusu "utilitarianism". Huyu alikuwa ni kama mwanafalsafa ambaye Nyerere alimpenda kabisa wakati akiwa katika Fabian Society Edinburgh Scotland.Baby Doll, umekisia kwamba naweza kuwa na umri wa miaka 35+...
Mimi nadhani umri hauna uhusiano wa moja kwa moja...
Kulikuwa na mtu anaitwa John Stuart Mill',
This guy was born 1806, by1809 (not 1819)he begun to learn greek.
At age 7 he had read most of the dialogues of Plato.
The next year he begun latin having meanwhile digested Herodotus, Xenophon, Diogenes, Laertius and Lucian.
Between eight and twelve he had finished Virgil, Horace, Livy, Sallust, Ovid, Terrence, Lucretius, Aristotle, Sophocles and Aristophanes. Had mastered Gemetry, Algebra, Differential calculus and written a Roman history, An abridgement of the ancient universal history and history of Holland.
At thirteen he made a complete survey of all there was to be known in the field of political economy.
Kwa hiyo Baby, umri sio kigezo sana muda mwingine.
carbon copy Paula Paul ana Kiranga.
Poa, nilikuwa nakusalimia tu.Salama kabisa. Nipe habari.
Shukrani sana.Poa, nilikuwa nakusalimia tu.
I see, we jamaa, duuu!J.K Nyerere alivyokuwa The University of Edinburgh , alisoma sana kazi za John Stuart Mill. Huyu alikuwa ni kama mwanafalsafa aliyempenda kabisa wakati akiwa katika Fabian Society Edinburgh Scotland.
Ukisoma kitabu cha "Nyerere: The Early Years" cha Dr. Thomas Molony, profesa wa The University of Edinburgh aliposoma Nyerere, utaona hayo na mengine mengi kuhusu historia ya awali kabisa ya Nyerere imeandikwa.
Hiki nacho ni kitabu kizuri sana nilichopata kufurahia kusoma.
Ulivyomtaja John Stuart Mill umenikumbusha hii habari ya Julius K. Nyerere na siku zake za Edinburgh.
Wewe nakufananisha na JS Mills, nasikia kabla hujafikisha miaka 17,J.K Nyerere alivyokuwa The University of Edinburgh , alisoma sana kazi za John Stuart Mill. Hususan kuhusu "utilitarianism". Huyu alikuwa ni kama mwanafalsafa ambaye Nyerere alimpenda kabisa wakati akiwa katika Fabian Society Edinburgh Scotland.
Utilitarianism ya John Stuart Mill ukiichanganya na falsafa za udugu za Kiafrika ndivyo vitu vuilivyopanda mbegu ya awali ya Ujamaa ndani ya mwanafunzi Nyerere.
Ukisoma kitabu cha "Nyerere: The Early Years" cha Dr. Thomas Molony, profesa wa The University of Edinburgh aliposoma Nyerere, utaona hayo na mengine mengi kuhusu historia ya awali kabisa ya Nyerere imeandikwa.
Hiki nacho ni kitabu kizuri sana nilichopata kufurahia kusoma.
Ulivyomtaja John Stuart Mill umenikumbusha hii habari ya Julius K. Nyerere na siku zake za Edinburgh.
Pole kwa kumpoteza mama mpenzi... May her soul Rest in PeaceI lost my mom 3yrs ago, it was pretty shattering and numbing. My friend recommended this book to me, "The Reptile Room" by Lemony Snicket. This is children's series of unfortunate event but I read them as an adult and helped me a ton.
At first I didn't want to accept that my mom is gone even after her funeral, but this quote helped me out to accept the reality,
"It is a curious thing, the death of a loved one. We all know that our time in this world is limited, and that eventually all of us will end up underneath some sheet, never to wake up. And yet it is always a surprise when it happens to someone we know."
This quote from the book also helped me when I thought I'd never be happy without her by my side and how to cope without her.
"I think we'll always miss our parents. But I think we can miss them without being miserable all the time. After all, they wouldn't want us to be miserable."
Since then, I hate to express my sadness, I would rather smile and show that everything is okay even if I feel depressed. I don't want my mom to worry about me because I know all she wants is for me to be happy.
This book has became the best book to me, followed by A grief observed by Lewis and Love, Aubrey by Suzzane Lafleur.
Ofcoz YES.Can i get a soft copy ?
Umeelewaje nilichoandika kama haujui kiinglish babu?Pole kwa kumpoteza mama mpenzi... May her soul Rest in Peace
Sasa tusiojua kiinglishi tunacomment wapi vitabu vyetu?
Kuna kajukuu hapa jirani kamenitafsiriaUmeelewaje nilichoandika kama haujui kiinglish babu?
Asante Sana kwa pole. Amen.
Ngoja nisubiri Swahili vision[emoji13]Hicho kitabu kinachekesha sana, unaweza ukawa unacheka peke yako kwa sauti.
Usitake kunidanganya ndio kitabu chako pendwa tuu. Maana najua hausomi.Kuna kajukuu hapa jirani kamenitafsiria
Kuna kitabu kinaitwa Biblia Takatifu...
Ushawahi kukisoma?
Nimesoma kuanzia Mwanzo sura ya kwanza mstari wa kwanza mpaka Ufunuo wa Yohana sura ya mwisho, mstari wa mwishoUsitake kunidanganya ndio kitabu chako pendwa tuu. Maana najua hausomi.
Kila ulichoandika hapa nazidi kudhibitisha umri ni kigezo.Baby Doll, umekisia kwamba naweza kuwa na umri wa miaka 35+...
Mimi nadhani umri hauna uhusiano wa moja kwa moja...
Kulikuwa na mtu anaitwa John Stuart Mill',
This guy was born 1806, by1809 (not 1819)he begun to learn greek.
At age 7 he had read most of the dialogues of Plato.
The next year he begun latin having meanwhile digested Herodotus, Xenophon, Diogenes, Laertius and Lucian.
Between eight and twelve he had finished Virgil, Horace, Livy, Sallust, Ovid, Terrence, Lucretius, Aristotle, Sophocles and Aristophanes. Had mastered Gemetry, Algebra, Differential calculus and written a Roman history, An abridgement of the ancient universal history and history of Holland.
At thirteen he made a complete survey of all there was to be known in the field of political economy.
Kwa hiyo Baby, umri sio kigezo sana muda mwingine.
carbon copy Paula Paul ana Kiranga.
Ili uwe mbishi si lazima uwe haupo sahihi kwa unachokiandika. Kitendo tuu cha kuargue uwe right or wrong ni ubishi.Sio kweli bibie. Au kuna kitu nimekosea katika hayo niliyo yaandika ? Kama nimekosea nisahihishe kisha nitakiri kosa.
Kwa hakika sijawahi kuwa mbishi kwa ile maana ya dhati kabisa ya tamko "Ubishi" ila huwa naitwa mbishi kwa dhulma.
[emoji13][emoji13][emoji13]nidanganye tuu.Nimesoma kuanzia Mwanzo sura ya kwanza mstari wa kwanza mpaka Ufunuo wa Yohana sura ya mwisho, mstari wa mwisho
Usifanye mchezo na mimi babu mtakatifu