You are a gentleman and a scholar.So we can't upload zip files now?
Maximum file size 25MB
- JF team, JamiiForums watusaidie katika hili tatizo
View attachment 1303836
Download kupitia hii link G.Drive: [Donald_D._Hoffman]_The_Case_Against_Reality__Why.epub
Mkuu Mwl.RCT ame upload hapa Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?Asante mkuu. Nasubiri hiyo upload ukisha overcome the problem.
Aliyeanzisha Uzi huu, pongezi kwake.
Kumbe tuna wasomaji tele kilanmtu akijiongezea ujuzi kimya kimya, nimevutiwa Sana na hili.
Kwa upande wangu, mapenzi na vitabu yalianzia nilipokuwa sekondari zaidi pamoja na masomo na mchepuo nilioenda kusoma.
Babu na Bibi pia walikuwa nanmsukumo mkubwa Sana tangu utotoni kila nilipowatembelea nilipokuwa likizo kwani nakumbuka kuwepo kwa kabati la vitabu na ukali wa babu anapokukuta umekaa bila Cha kufanya na vitabu vipo.
Kwa mwaka huu lengo langu lilikuwa kusoma vitabu 20 na mpaka mwezi ujao nikijaaliwa nguvu na pasipo maingiliano yoyote nitatimiza kwani kwa Sasa Niko Kitabu Cha 19.
Vifuatavyo ni baadhi ya vitabu nilivyosoma mwaka huu ambavyo vimeniachia alama ya kudumu na mguso wa kipekee:
1. The Subtle art of not giving a f*ck - Mark Mason
2. Capitalist Nigger - Chika Onyeani
3. Peaks & Valleys - Spencer Johnson
4. Black Privilege - Charlemagne That God
5. Things my son needs to know about the world - Fredrick Blackman
6. Purple Hibiscus - Chimamanda Ngozi Adichie
7. Life's Not fair but God is good - Robert R. Schuller
8. Tuesdays with Morrie - Mitch Albom
9. Letter to my daughter - Dr. Maya Angelou
10. Who will cry when you die - Robin Sharma
11. The leader who had no title - Robin Sharma
12. The 5 love languages - Gary Chapman
13. The power of habit - Charles Duhigg
14. The richest man in Babylon - George Clason
15. The Smart money woman - Arese Ugwu
I apologize for my late response. Yes you can call me Paula.
The Gospel of John 19:25-26 ''Now there is stood by the cross of Jesus his Mother, and his mother's sister, Mary the wife of Cleophas and Mary Magdalene. When Jesus Saw his mother and the disciple standing by, whom he loved..." So in this verse the beloved disciple was Mary Magdalene, she was among of the women mentioned to be there together with Jesus' mother and she was Single[emoji4]
"He lived with his students most of time" yes Mary also she was one of them.
Also the Gospels in the Holly Bible says, Mary was a Jesus follower and she traveled with Jesus as one of his followers. Mary was the witness to his crucifixion, buried and resurrection.
In the Non Colonial Gospel Jesus was married to Mary Magdalene and they had kids. [emoji4][emoji4]Truthfully, I find this studies so interesting coz there are so many fascinating and mysterious like this.
Well the Idea that he married to Mary, erotic love, gay etc there is almost no information in the Bible. So it might be a conspiracy.
Sure, "there is so much in the world of books" .
Nilimanisha wanachukua kila kitu kama kilivyo na kuamini iwamba kwa kusoma kile kitabu ndio wameshayapatia maisha na kusahau kwamba kuna vitabu vingine ambavyo wanatakiwa wasome ili kupata vitu bora zaidi.
Concepts alizoziandika kwenye Rich dad poor dad, kuna vitabu Vingi tuu ukivisoma vinapingana na hizo baadhi ya kuncept na vina point kiasi kwamba ukisoma unaelewa kabisa kwanini kuna umuhimu wa kusoma vitabu vingi.
Wengi wetu tuna tabia, kwa kuwa mtu kafanikiwa hivo akiandika kitabu kila alichokiandika kule tunakiamini kwa sababu yeye ndio tajiri na njia alizoziandika ndio kazipitia hadi akafanikiwa hivyo ngoja na sisi tuziige tupite nazo. Tukiziiga hatuoni dalili hata kwa mbali ya kwamba tunakaribia kuwa matajiri kwa sababu matajiri wengi wamekuwa matajiri kwa "janja janja" na njia ambao hazitamaniki. Lakini wakiulizwa ilikuwaje? Wanatengeneza story flan amazing.
Kitabu cha Rich dad poor dad, kwa mtazamo wangu ni kizuri ila kimekaa kutoa "faraja" zaidi kuliko kutoa "ushauri". Na watu wengi ambao ndio wanapigana na maisha wanakipendaje tofauti na The Richest Man in Babylon ambacho kwangu Mimi naona ndio kina njia zote za msingi za mtu kufanikiwa hatoi faraja ni mwendo wa " kazi kazi".
Sijui kama nitakuwa nimekujibu, sipo vizuri kwenye uchambuzi ila, nilichokuwa namaanisha ukisoma kitabu, usibebe kila kitu kama kilivyo. Tafuta vitabu vingine uone navyo vinasemaje mwisho wa siku ukijumlisha concept za wote unakuja na concept moja zuri ambayo ni nzuri zaidi.
Nilimanisha wanachukua kila kitu kama kilivyo na kuamini iwamba kwa kusoma kile kitabu ndio wameshayapatia maisha na kusahau kwamba kuna vitabu vingine ambavyo wanatakiwa wasome ili kupata vitu bora zaidi.
Concepts alizoziandika kwenye Rich dad poor dad, kuna vitabu Vingi tuu ukivisoma vinapingana na hizo baadhi ya kuncept na vina point kiasi kwamba ukisoma unaelewa kabisa kwanini kuna umuhimu wa kusoma vitabu vingi.
Wengi wetu tuna tabia, kwa kuwa mtu kafanikiwa hivo akiandika kitabu kila alichokiandika kule tunakiamini kwa sababu yeye ndio tajiri na njia alizoziandika ndio kazipitia hadi akafanikiwa hivyo ngoja na sisi tuziige tupite nazo. Tukiziiga hatuoni dalili hata kwa mbali ya kwamba tunakaribia kuwa matajiri kwa sababu matajiri wengi wamekuwa matajiri kwa "janja janja" na njia ambao hazitamaniki. Lakini wakiulizwa ilikuwaje? Wanatengeneza story flan amazing.
Kitabu cha Rich dad poor dad, kwa mtazamo wangu ni kizuri ila kimekaa kutoa "faraja" zaidi kuliko kutoa "ushauri". Na watu wengi ambao ndio wanapigana na maisha wanakipendaje tofauti na The Richest Man in Babylon ambacho kwangu Mimi naona ndio kina njia zote za msingi za mtu kufanikiwa hatoi faraja ni mwendo wa " kazi kazi".
Sijui kama nitakuwa nimekujibu, sipo vizuri kwenye uchambuzi ila, nilichokuwa namaanisha ukisoma kitabu, usibebe kila kitu kama kilivyo. Tafuta vitabu vingine uone navyo vinasemaje mwisho wa siku ukijumlisha concept za wote unakuja na concept moja zuri ambayo ni nzuri zaidi.
Hiyo namba 5. itabidi nikisome maana nimeona review yake sio mbaya
What everybody is saying kinahusu Body language! So humo ndani author kaeleza mambo mbalimbali na maana zake. Mfano posture za miguu na mikono, facial expressions, kijasho chembamba, direction ya macho pindi mtu anapofafanua jambo. n.k. ni kizuri sana ukikielewa.
vipoje hivyo vitabu?
Many thanks for this correction and share the copy. Well done pal.I think is "tujisahihishe" Pencil
Nitumie soft copy ya kitabu kinachohusu marriageHi,
I used to think that reading was boring until I found books that really sparked my interest. Reading became important to me because it’s fun and it teaches me new things. It keeps my mind active and inshape and it makes a difference for me if I go long periods without reading books, my mind starts to stagnate.
My favorite book of all the time is East of Eden by John Steinbeck. I liked this book and I loved every page of it. To be honest this is a masterpiece. To this day still is one of the best motivational book I’ve ever read. I enjoyed it for the massages it provides. I have been reading the book and just got to these quotes “And now that, you don’t have to be perfect you can be good.” And “ If you want to be straight allow yourself to be crooked” etc. Truthfully this book gave me a little inspiration to pursue my goals.
Another one is The Hitchhiker’s Guide to the Galaxy by Douglas Adams. It’s the funniest book I have ever read. I’ve read the book many times, but still makes me laugh. I will share favorite part that I found myself re-reading, you know, Said Arthur,” It's at times like this when I m trapped in a Vogon...... And about to die of asphyxiation in deep space that I really wish I’d listened to what my mother told me when I was young”
“Why, what did she tell you?”
Arthur “ I don’t know, I didn’t listen”.
It’s so insanely funny and It reminds me that you shouldn’t take life so damn seriously.
Do you have any favorite book(s) you real like? Tell us about it, based on how good the book was, and why you think it was the best, what is the favorite part in it?
For those who don’t like reading, y'all should know that reading is the good way to learn new things, to see things in another perspective and to expand your creativity and linguistic skills.
Welcome guys.
G’day.
Mkuu Mwl.RCT ame upload hapa Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?
Maximum file size 25MB
- JF team, JamiiForums watusaidie katika hili tatizo
View attachment 1303836
Download kupitia hii link G.Drive: [Donald_D._Hoffman]_The_Case_Against_Reality__Why.epub
Happy New Year bookworms!
Tumeiona 2020.
Nilijiwekea lengo la kusoma vitabu viwili wiki ya mwisho ya 2019, nimepita lengo hilo.
Lengo lilikuwa ni kusoma "The Case Against Reality: Why Evolution Hid the Truth from Our Eyes" cha Donald D. Hoffman na "The Last Warrior: Andrew Marshall and the Shaping of Modern American Defense Strategy".
The first one was a great read, it covers a lot of ground, from evolution to quantum physics.
The second one was a niche read, it reminded me a lot of my friend Andrew Nyerere. Military types and Pentagon enthusiasts would find it interesting, at points it was a slog that felt more of hagiography than biography.
The kicker is, I really wanted to read "George Marshall: Defender of The Republic" by David L. Roll. I guess I picked the wrong Marshall. I was intrigued by the fct that I had never heard of Andrew Marshall, I have read George Marshall's previous biographies.
So, this week being largely a holiday week, I met and surpassed my goal.
I read the two books I inteded, and I read two more.
I read Sean Carroll's "Something Deeply Hidden:Quantum Worlds and the Emergence of Spacetime". I was highly motivated by Carroll's other book "The Big Picture: On The Origins of Life, Meaning, and the Universe Itself". Carroll is a very important author.
I found time to read another book that has been sitting on my list for some time. "The Beginning of Infinity: Explanations That Transform the World" by David Deutsch. This book is off the charts in terms of coverage and how thought provoking it is.
So by the end of the year I managed to finish these titles.
The 2020 goal is at least 2 books a week.This week I am scaling back from science. I am balancing by reading fiction "Night Boat to Tangier" by Kevin Barry, I was given this as a Christmas gift. It is a slog. Even as it was listed for the Man Booker Prize. The plotline is convoluted, the sentence formation are fabulous though.
What I am enjoying right from the start is Samantha Power's new book, "The Education of an Idealist: A Memoir".
Samanta Power was Barack Obama's US Ambassador at the UN. She had previously won a Pulitzer Prize for her book
"A Problem From Hell: America and The Age of Genocide".
I wish you a prosperous New Year. Have a great 2020.
Happy reading.
Law 2: Never put too much trust in friends, Learn to use enemies
Law 3: Conceal your intentions
Law 4: Always say less than necessary
Law 5: So much depends on reputation- Guard it with your life