Wale tunaotegemea boom nimepostiwa jana na kachala mmoja wa mjengoni kwamba wengi wa wanaoendelea na masomo vyuoni watakosa mkopo kutokana na kutofautiana kwa maelezo yao ya awali na ya sasa.
First year wanatakiwa kuwa wavumilivu kwani bado udahili unaendelea na itachukua muda hadi watakapokuwa vyuoni. Ahsante!!
Mkuu hebu muulize wale wanaobadilisha vyuo/kozi mkopo watapata kweli?