Boom haliwatoshi wanafunzi wa elimu ya juu

Mimi mkopo sijapata,
Home wananipa 2550, lakini inanitosha sana, tena mpaka nahonga lile toto langu la kata...
 

Pesa zitakuuwa nyapu wewe
 
Mimi mkopo sijapata,
Home wananipa 2550, lakini inanitosha sana, tena mpaka nahonga lile toto langu la kata...

Mwongo ---- wewe tena kuna mahali umesema unapata 100% na unaenda kuwaunga wenzio mkono........manina unakuwa mwongomwongo acha uxenge joohhh.....overrrrrr
 

Umenena mkuu.....so far we ni jembe pekee katika thread nzima
 
nguo ya kuazima haisitiri mwili..kitu cha kukopa bhana kwanza masharti yake ukipate ni msoto.ukisoma kwa tabu utajua maisha nini.mimi mwakawa3amini sometime unapata tabu kwa matumizi ya kifahari.Na wengi tunapenda maisha ya kuiga.kwa watu wa Dar pesa haitoshi.Taratibu zifanyike angalau ziongezwe.
 
Naunga hoja hoja ..yan hautoshi kabisa maaana gharama za maisha zmepanda mnooo
 
Tatizo tamaa,wenzako hawajapata hata sent tano!!!!Mbona hamna upendo??
 
Tatizo tamaa,wenzako hawajapata hata sent tano!!!!Mbona hamna upendo??

Samahani,hivi hoja ya Msingi ni kujadili kama Pesa ya kujikimu Chuo(boom) inatosha au ni kujadili ambao hawakupata mkopo? au mie ndo sijaelewa kinachojadiliwa,msaada tafadhali!!!!!
 
ivi c 2naoishi bila boom na 2nakulaa 4000 kwa siku na 2naishi nyie mnaopea buku 7 ata aridhiki??hao ndo binadamu
 
Samahani,hivi hoja ya Msingi ni kujadili kama Pesa ya kujikimu Chuo(boom) inatosha au ni kujadili ambao hawakupata mkopo? au mie ndo sijaelewa kinachojadiliwa,msaada tafadhali!!!!!

hata mi nashangaa mkuu. Watu wanaacha main topic wanakuja na topic zao
 
Kadili upatavyo pato zaid ya jana, ndivyo matumizi yanavyoongezeka, hata wakiongeza kuwa 20,000/= matumizi nayo huongezeka, bado pesa haitotosha, lakn tujiulize, hivi kama pesa haitoshi toka ilivyoanza kutolewa had leo, je tunaishije sasa? basi na tuendelee kuishi hivyo, pesa iko katka balance, ikiongezeka ujue matumizi yapo juu, bado haitokidhi kama upendavyo wew na mimi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…