Ni fedha ambayo unaipata ukiwa hujaitolea jasho, maumivu, machungu, na bajeti yake wewe huijui, fedha hiyo inakufikia kwenye akaunti yako au Dirishani kwa bursor ukiwa upo chuoni, sasa matumizi yake ni kwa ajili ya meals, accomodation, stationary, research na mambo mengine ndo wakopeshaji wamelenga hivo, kinyume chake wewe mtumiaji basi unabadili matumizi yake unexpected hapo unanunua mziki mzito, simu kali, iphone, S5 etc, laptop, friji, disco club, vihepe kwa wingi na manunuzi hayo na bajeti zake huzifikirii, msimu wa boom lifestyle za wanachuo hubadilika gafla kupanda juu,, sasa inapoanza account kusoma isivyo mfumo wa maisha unabadilika, mahudhurio cafeteria za chuo yanaongezeka, R&B kwa wingi, container za vyakula nyingi to and from domitories, ujue pesa zinaisha.
;
Kwahiyo ule mfumo wa kupokea pesa na lifestyle/ maisha kubadilika kupanda, na kushuka baada ya pesa kuisha ndo life curve graph hiyo ikaitwa Boom