Wajameni,
kuna vitu vingine viwili vibaya kingine kuhusu hawa wadada wanaojikoboa.
1. Ladha ya kabla na ladha ya baada ni tofauti, ukipita kabla, utatamani kuendelea kupita, ukipita baada, hutamani kurudi tena, hivyo sasa kwa hali aliyonayo, hamtakaa msikie kuwa sasa ametulia na mtu!, watu watatamani kupita tuu shauri ya jina, na baada ya hapo, ni kanyaga twende, hawatarudi tena!.
2. Miili ya mkorogo, inatoa smell fulani ambayo siyo!, hata utumie perfum expensive kiasi gani, lile jasho la excitement wakati wa foreplay, kufuatia sebaceous glands kuwa tempered, zina secrete smell fulani awful inayoku put off mood, hivyo kupunguza enjoyment kunakopelekea umalizie tuu ili kutimiza wajibu na baada ya hapo, you'll need no more round, and never next time!, ukiondoka umeondoka!.
P.