Uchaguzi 2020 Bora CHADEMA mngesitisha uzinduzi wa kampeni kufuatilia hujuma za wagombea wenu kuenguliwa

Uchaguzi 2020 Bora CHADEMA mngesitisha uzinduzi wa kampeni kufuatilia hujuma za wagombea wenu kuenguliwa

Unajua kuna mburura wengine bado hamjaijua siasa ya cdm.
Mfano,wagombea wengi hao unaodai wameenguliwa ni wagombea matapeli kweli kweli.
Wameweka vyao mfukoni wengine mara katekwa,kajisahaulisha makusudi kurudisha form fulan etc.
Point mkuu
 
Kuondelewa kwa hila kivipi lini umesikia Chadema wana semina hata ya kuwafundisha wagombea wao kujaza form za uchaguzi au kuwaeleza wanatakiwa wafanye nini kuepuka mitego ya NEC ? Walishindwa nini kufanya hvyo ela za ruzuku zinafanya nn kwanini zisitumike kufanya hvyo? Acheni mambo yenu mmekosea kujaza maform then mnataka kuwapa lawama wengine .

Ahaaaa ahaaaa yaani nimecheka kwa nguvu mpaka mtoto wangu mdogo kaamka. Yaani kwenye kujaza fomu kuna mitego ya NEC! NEC nayo ni chama cha siasa mpaka iweke mitego kwenye fomu? Hapa ndio nimejua naongea na kilaza wa nguvu. Kaa kimya tu boss, hapa ni kama unafua shati jeupe na maziwa ukitegemea litan'gaa zaidi.
 
Unajua kuna mburura wengine bado hamjaijua siasa ya cdm.
Mfano,wagombea wengi hao unaodai wameenguliwa ni wagombea matapeli kweli kweli.
Wameweka vyao mfukoni wengine mara katekwa,kajisahaulisha makusudi kurudisha form fulan etc.

Uza ubongo huo maana unakaa nao kwa hasara dogo. Bado propaganda hizo za kizee unazitumia miaka hii?
 
Gifted fool
Wataachaje kampeni wakt wameshachukua ela za mabeberu kwa kuwadanganya kuwa wanakubalika na watashinda uchaguzi?

Inashangaza sana chama ambacho kinajinasibu kuwa kitashinda uchaguzi sasa unajiuliza inamaana chadema na usomi wao wanashindwa kujua huwezi kuunda serikali usipokuwa na wabunge wa kutosha au nia yao ni kupata Urais tu? Lissu ameshawadanganya mabeberu kuwa watashinda na ukweli Chadema wanajua kabisa hawana ubavu wa kushinda uchaguzi ndo maana kutwa Lissu anafanya visa ili tu mabeberu waone anaonewa kuwekewe vikwazo kwa taarifa yake tutawangalia tu wala hatumgusi ataguswa na box la kura pale atakapopata chini ya 5%

Chadema wamewekeza nguvu nying kwa nafasi ya Urais wameshindwa kujua wanatakiwa kuwa na wabunge wengi ambapo hata wasipopata urais wanaweza kubadili mambo mengi kikatiba kupitia wabunge wao


Gifted fool at work.
 
Usiongee kishabiki wewe unatakiwa uwe fair, ina maana wagombea wanaokosea ni wa vyama vya upinzan tuu? mbona kuna viongozi wa ngazi za juu kabisa na waliwekewa pingamizi kwa kutofuata utaratibu? hao nao walkuwa chadema? au kama au walikuwa na semina ilikuwaje nao wakakosea? mnaakiwa mseme mkiona mambo yanakwenda ndivyo sivyo kuliko kufumbia macho at the end tukaja kuingia kwenye matatizo! sisi tuna familia bhana kwaiyo hatutaki mtu flan atuchafulie hali ya hewa hapa eti kwa sababu ya interest zake! mwaka huu kuna viashiria vya hatar sema tunaskitik tuna viongizi wa dini na wanayaona haya lakin wamekaa tu kimyaaaa" sisi wengine hatuna pa kukimbilia
 
bila shaka we jamaa utakuwa na matatizo sio amri yako! kwaiyo wale wa makijan na wa cuf waliowekewa pingamizi na lisu nao walikuwa wameshaweka chao mfukon? mbona hoja zako hazina mashiko? na wale bas wamechukua chao wakaweka mfukon! nakushaur tu ndugu yangu usiwe mvivu wa kufuatilia tarifa, jitahid uwe unasoma ndio uje umu jukwaan
 
Ahaaaa ahaaaa yaani nimecheka kwa nguvu mpaka mtoto wangu mdogo kaamka. Yaani kwenye kujaza fomu kuna mitego ya NEC! NEC nayo ni chama cha siasa mpaka iweke mitego kwenye fomu? Hapa ndio nimejua naongea na kilaza wa nguvu. Kaa kimya tu boss, hapa ni kama unafua shati jeupe na maziwa ukitegemea litan'gaa zaidi.
Nyie ndy mnaoshika ukuta kwa kichaa wetu, mnashabikia mpk upumbavu
 
Kampeni ya nini tena? Kupoteza tu muda. Mazingira hayaruhusu kabisa. NEC na CCM ni kitu kimoja. Kama vyama vya upinzani vinategemea matokeo tofauti basi ni wajinga tu. CCM na Tume wamemwaga mboga, Zitto na Lissu watu-mobilize wafuasi tumwage ugali ili tuheshimiane.
ndugu mtoa mada, hoja yako haina mashiko, sasa waache kufanya kampen halafu inakuaje? hv una faham kama kampeni ni mwezi mmoja tu? kimsingi labda nikuelekeze kitu kimoja kinaitwa division of labour au mgawanyo wa majukumu sasa ni vyema wengine wangeendelea na kampen na wachache wafuailie hili swala lakin usiseme eti waache kupiga kampen, au ww makijani nn unataka kuwaingiza wenzio chaka? hv kwel kabisa unaongea toka moyoni unaona kama wasifanye kampeni? una hatar sana ndugu, binafsi napingana na wewe kwa 100℅
 
wanataka kutusabbishia matatizo matatizo bule kwa interest zao wamesahau kama hii nchi ni yetu sote na sio ya mtu flan, pia wanataka ifikie hatua tutengane na familia zetu, hii kitu ni mbaya sana
 
Chadema hasa viongozi wake wakuu ukimtoa Lisu, wamelala usingizi mzito. Mbowe ndio hata sijui yupo wapi na anafanya nn? Sijui anachukuliaje haya yanayotokea. Inaonekana ni kama amemsusia Lisu kila kitu. Mwenyekiti anazingua kweli
 
wanataka kutusabbishia matatizo matatizo bule kwa interest zao wamesahau kama hii nchi ni yetu sote na sio ya mtu flan, pia wanataka ifikie hatua tutengane na familia zetu, hii kitu ni mbaya sana
 
Wagombea wa upinzani wameenguliwa kihuni kwa faida ya ccm na wanaccm wanashangalia kweli kweli na hakuna kiongozi mstaafu hata mmoja aliyekemea uhuni huu, naanza kuchochea chuki dhidi ya ccm, watz wapenda haki popote mlipo ktk zote hadi ya familia usisaidie mwanaccm yeyote akipata tatizo na hata ukipata gepu la kumwekea sumu afe Fanya hivyo
 
Back
Top Bottom