henry kilenga
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 1,329
- 1,117
Tukirudi katika neutral point, hata wapumbavu wa CCM wanaweza kuona 'hujuma' inayoendelea.Kwa kifupi tu, vikwazo vitaihusu government, safari hii kichomi ni kikali sana.
Tundu Lissu kaamua pia kufata gari, polisi wanaruka ruka tu, yote haya yanakuwa profiled na kutumwa hukoo kwa "wasaidizi wa kupatikana kwa haki". Tayari ripoti ya vifo imeshakwenda huko death toll inasoma 3.
Wew ndo mnafiki maana hautaki ukweliMnafiki wewe!!
Unaongelea kinyeo ?!Wataachaje kampeni wakt wameshachukua ela za mabeberu kwa kuwadanganya kuwa wanakubalika na watashinda uchaguzi?
Inashangaza sana chama ambacho kinajinasibu kuwa kitashinda uchaguzi sasa unajiuliza inamaana chadema na usomi wao wanashindwa kujua huwezi kuunda serikali usipokuwa na wabunge wa kutosha au nia yao ni kupata Urais tu? Lissu ameshawadanganya mabeberu kuwa watashinda na ukweli Chadema wanajua kabisa hawana ubavu wa kushinda uchaguzi ndo maana kutwa Lissu anafanya visa ili tu mabeberu waone anaonewa kuwekewe vikwazo kwa taarifa yake tutawangalia tu wala hatumgusi ataguswa na box la kura pale atakapopata chini ya 5%
Chadema wamewekeza nguvu nying kwa nafasi ya Urais wameshindwa kujua wanatakiwa kuwa na wabunge wengi ambapo hata wasipopata urais wanaweza kubadili mambo mengi kikatiba kupitia wabunge wao
Hujambo kubwa jinga ?!Wewe ni mataq* fanya haraka ukaoshe kikojoleo mumeo anakusubiri.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Tukirudi katika neutral point, hata wapumbavu wa CCM wanaweza kuona 'hujuma' inayoendelea.Kwa kifupi tu, vikwazo vitaihusu government, safari hii kichomi ni kikali sana.
Tundu Lissu kaamua pia kufata gari, polisi wanaruka ruka tu, yote haya yanakuwa profiled na kutumwa hukoo kwa "wasaidizi wa kupatikana kwa haki". Tayari ripoti ya vifo imeshakwenda huko death toll inasoma 3.
Jinyonge kabisaWagombea wa upinzani wameenguliwa kihuni kwa faida ya ccm na wanaccm wanashangalia kweli kweli na hakuna kiongozi mstaafu hata mmoja aliyekemea uhuni huu, naanza kuchochea chuki dhidi ya ccm, watz wapenda haki popote mlipo ktk zote hadi ya familia usisaidie mwanaccm yeyote akipata tatizo na hata ukipata gepu la kumwekea sumu afe Fanya hivyo
Tulieni tu itafika muda nyinyi ndo mtaomba maridhiano ya kitaifa kwa sasa lazima tulie woteJinyonge kabisa
Kiranja ni sanduku la kura. Eti wanataka serikali mseto kirejareja. Tafuteni kura kama mtaweza. Hapo mnalia iyena haijaanza. Mbn mtatoroka site safari hii.Tulieni tu itafika muda nyinyi ndo mtaomba maridhiano ya kitaifa kwa sasa lazima tulie wote
Wagombea wanaenguliwa kihuni halafu unaleta porojo za samduku la kura hizo kura tunapiga kwenye sanduku la bibi yako?Kwa kipi sasa,
Kiranja ni sanduku la kura. Eti wanataka serikali mseto kirejareja. Tafuteni kura kama mtaweza. Hapo mnalia iyena haijaanza. Mbn mtatoroka site safari hii.
Hao viongozi wako wanakonfuse kichwa ili ulipuke usiwaamini sana. Akili ya kuambiwa changanya na yakoWagombea wanaenguliwa kihuni halafu unaleta porojo za samduku la kura hizo kura tunapiga kwenye sanduku la bibi yako?
Kuondelewa kwa hila kivipi lini umesikia Chadema wana semina hata ya kuwafundisha wagombea wao kujaza form za uchaguzi au kuwaeleza wanatakiwa wafanye nini kuepuka mitego ya NEC ? Walishindwa nini kufanya hvyo ela za ruzuku zinafanya nn kwanini zisitumike kufanya hvyo? Acheni mambo yenu mmekosea kujaza maform then mnataka kuwapa lawama wengine .
Lissu hawezi kuwa nchi nzima. Huu ni ufedhuli ambao viongozi wanatakiwa waongoze wananchi kuupinga hata kwa kumwaga damu. It cannot get worse than this. Lissu hana uwezo wa Kimungu kwamba takuwa Sumbawanga, Mpwapwa, Mtama, Bunda kwa wakati mmoja. Kabla ya kulaumu, fikiri kwanza. Haya si mazingira ya kawaida. Nchi inahitaji mapinduzi. Demokrasia imeshindikana.
Chadema hasa viongozi wake wakuu ukimtoa Lisu, wamelala usingizi mzito. Mbowe ndio hata sijui yupo wapi na anafanya nn? Sijui anachukuliaje haya yanayotokea. Inaonekana ni kama amemsusia Lisu kila kitu. Mwenyekiti anazingua kweli
Ushauri mzuri..ila hawa watu huwapi ushauri...Kuondelewa kwa hila kivipi lini umesikia Chadema wana semina hata ya kuwafundisha wagombea wao kujaza form za uchaguzi au kuwaeleza wanatakiwa wafanye nini kuepuka mitego ya NEC ? Walishindwa nini kufanya hvyo ela za ruzuku zinafanya nn kwanini zisitumike kufanya hvyo? Acheni mambo yenu mmekosea kujaza maform then mnataka kuwapa lawama wengine .
Mkutano wa uzinduzi wa kampeni, yaani ndio ndege inapaa hiyo, Devotha Minja yupo studio anapiga picha za kubandika kwenye fomu yake ya kugombea ubunge 2025!Mimi najua mheshimiwa Lissu atatoa tamko kesho kwenye mkutano na huo ndio utakuwa mwelekeo wa uchaguzi wa mwaka huu. Stay tuned!!
Kuna watu mnashangaza sanaKwa kipi sasa,
Kiranja ni sanduku la kura. Eti wanataka serikali mseto kirejareja. Tafuteni kura kama mtaweza. Hapo mnalia iyena haijaanza. Mbn mtatoroka site safari hii.