Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,818
- 9,183
Acha tu FUTA litaisha ukiona USA/ITALY/BRAZIL wagonjwa wamekwisha kama wanaendelea kuugua basi hata kwetu TZ lipo ,Ona majirani zetu ngoma inavyoyoyoma PEAK ya Ugonjwa kenye ni Spetember kwahiyo idadi Kenya inazidi kuongezeka!!Mbona tutakoma sasa mzee baba?
Uliishuhudia?Inakuwaje wameitoa juzi tu na wakaweka na kichekesho kipya cha Idris sultan?
Sijashuhudia ila BBC ni chombo kikubwa cha habari sidhani kama wamedanganya.Uliishuhudia?
Mimi niliiona kwenye website yao ila waliandika 1 month ago!Sijashuhudia ila BBC ni chombo kikubwa cha habari sidhani kama wamedanganya.
Ok mkuu basi hawajafanya vyema kuweka taarifa ya mwezi m1 uliopita kisha wakaambatanisha na tukio la Idris latest vs Mavazi ya JPM maana watu walipaniki upya kama serikali bado inazika watu usiku.Mimi niliiona kwenye website yao ila waliandika 1 month ago!
Ila all in all kitu bado kipo kipo!
Mwanaume mzima unalilia kugegedwaCorona sio mchezo kwa kweli.bora imeisha tufanye maamuzi magumu sasa.
Ila wabongo wabishii kuna watu walikuwa wanaendeleza game Kama kawaida
Nami limenishangaza hili! Kuna ile ya aljazeera pia! Sijui hata nini wanakitafuta;let's hide and watch!Ok mkuu basi hawajafanya vyema kuweka taarifa ya mwezi m1 uliopita kisha wakaambatanisha na tukio la Idris latest vs Mavazi ya JPM maana watu walipaniki upya kama serikali bado inazika watu usiku.
Naupenda sana mwili wangu mafuta tu nayopaka ni ada ya wanao wawil
Humu wote tumeoa
Wew mbona una roho mbaya ulitamani lissu afe...je ulikaa na wazazi au walez wenye roho mbaya kama shetani kutaka mwenzio afe kissa anamkosoa baba yako....inawezekana umekulia mazingira ya mauji aka ya kishetani maana huna roho ya kibinadam
Hehehe!Weweee acha uongo
Hehehe!
[emoji23] damn!Naupenda sana mwili wangu mafuta tu nayopaka ni ada ya wanao wawil
Akili za wanawake.Corona sio mchezo kwa kweli.bora imeisha tufanye maamuzi magumu sasa.
Ila wabongo wabishii kuna watu walikuwa wanaendeleza game Kama kawaida