Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Corona sio mchezo kwa kweli bora imeisha tufanye maamuzi magumu sasa. Ila wabongo wabishii kuna watu walikuwa wanaendeleza game kama kawaida
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na nitaongeza muda masalio yote ya covid yaishekwa hyo ww tangu mwez wa 12 had leo ujagegedwa utakuwa n miugwadu kama yotee
Naupenda sana mwili wangu mafuta tu nayopaka ni ada ya wanao wawilKwani ulikuwa abused utotoni? Kwa maana wanawake waliokuwa abused ndio huwa wako hivyo, wanajiona kuwa hawana thamani, na mwili wao, ...
c itaota ukunguNa nitaongeza muda masalio yote ya covid yaishe
Naupenda sana mwili wangu mafuta tu nayopaka ni ada ya wanao wawil
Mafuta sio kigezo cha kuupenda mwiliNaupenda sana mwili wangu mafuta tu nayopaka ni ada ya wanao wawil
Una wivu sana .sex ni jambo la kawaida sana.tena ni ibadaLugha ulioitumia siyo ya Mwanamke anayejithamini, kujiamini na kujiheshimu, isitoshe sex ni jambo la kawaida sana hauhitaji kulianzishia Mada, kwa kawaida wale waliokuwa abused ndiyo huwa hivyo.
Miss Natafuta nikutafute.Corona sio mchezo kwa kweli.bora imeisha tufanye maamuzi magumu sasa.
Ila wabongo wabishii kuna watu walikuwa wanaendeleza game Kama kawaida
Lipo ila hiyo habari kama ya mwezi mmoja uliopitaSi mchezo ngoma bado mbichi..........BBC Swahili wamewapigia Ma Dr na wameeleza ukweli....FUTA Bado Lipo lipo Sana.
Mbona tutakoma sasa mzee baba?Si mchezo ngoma bado mbichi..........BBC Swahili wamewapigia Ma Dr na wameeleza ukweli....FUTA Bado Lipo lipo Sana.
Kwanini?Moderator futa hii [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app