Bora kufia jela kuliko kufa maskini

Bora kufia jela kuliko kufa maskini

Jela hapafai
Bora uwe masikini lakini upo huru
Jela unatembea na bunduki mgongoni
Unapangiwa muda wa Kulala na kula
Kujigeuza kitandan hadi uombe ruhusa
Mfungwa anazidiwa na mbwa Koko kuliko huru
 
Kuna kipindi nilikua na mentality kama yako, huku na kule nikaingia mikononi mwa task force kesi sielewi nimeingiaje ilikua ujambazi wa kiasi kama 400M hivi, katika kesi nikaunganishwa na watu wengine kama 6 halafu ninaefahamiana nae mmoja tu na ndo peke ake tulitoka mkoa mmoja, hao wengine walitoka mikoa tofauti tofauti Tz. Nilikaa mahabusu zaidi ya mwezi, kile kipindi kilini humble mno, naishi low key kinomaa na naridhika na ninachokipata... uhuru ni kitu muhimu kuliko ambavyo unaweza kufikiria.
 
Kuna kipindi nilikua na mentality kama yako, huku na kule nikaingia mikononi mwa task force kesi sielewi nimeingiaje ilikua ujambazi wa kiasi kama 400M hivi, katika kesi nikaunganishwa na watu wengine kama 6 halafu ninaefahamiana nae mmoja tu na ndo peke ake tulitoka mkoa mmoja, hao wengine walitoka mikoa tofauti tofauti Tz. Nilikaa mahabusu zaidi ya mwezi, kile kipindi kilini humble mno, naishi low key kinomaa na naridhika na ninachokipata... uhuru ni kitu muhimu kuliko ambavyo unaweza kufikiria.
Ilikuaje mkuu
 
Kuna kipindi nilikua na mentality kama yako, huku na kule nikaingia mikononi mwa task force kesi sielewi nimeingiaje ilikua ujambazi wa kiasi kama 400M hivi, katika kesi nikaunganishwa na watu wengine kama 6 halafu ninaefahamiana nae mmoja tu na ndo peke ake tulitoka mkoa mmoja, hao wengine walitoka mikoa tofauti tofauti Tz. Nilikaa mahabusu zaidi ya mwezi, kile kipindi kilini humble mno, naishi low key kinomaa na naridhika na ninachokipata... uhuru ni kitu muhimu kuliko ambavyo unaweza kufikiria.
Pole sana dah
 
#usiue
#usikabe
#usipore
Kama hujawahi kuonja taste ya huko tafadhali funga mdomo wako. Jela za tz ni jehanam ndogo, huo uhuru unaochukulia poa, siku ukipelekws mle ndio utajua ni wa dhamani

Fanya kazi kwa umakini
 
Back
Top Bottom