musicarlito
JF-Expert Member
- Dec 29, 2020
- 368
- 556
Sio vizuri kuomba omba kwa mambo uliyoyapanga mwenyewe tena na tarehe unaijua ya tukio
Ni wajibu kuchangia matatizo kama misiba, magonjwa ajali nk...kwa sababu hakuna mtu anapanga au hujiombea hayo japo yapo kwa kujitakia
Lakini kawaida watu husema huwa sheria...tuna desturi ya kuchangia mambo ya kushereheka kama harusi...Send off nk
Je si muhimu kumchangia mtu alie au anae hiari kwenda katika hatua nyingine ya kuwajibika kwa maana ya kuwa na familia...nikimaanisha MAHARI/MAHALI halafu hayo mengine tukamuachia yeye mwenyewe?
Ni wajibu kuchangia matatizo kama misiba, magonjwa ajali nk...kwa sababu hakuna mtu anapanga au hujiombea hayo japo yapo kwa kujitakia
Lakini kawaida watu husema huwa sheria...tuna desturi ya kuchangia mambo ya kushereheka kama harusi...Send off nk
Je si muhimu kumchangia mtu alie au anae hiari kwenda katika hatua nyingine ya kuwajibika kwa maana ya kuwa na familia...nikimaanisha MAHARI/MAHALI halafu hayo mengine tukamuachia yeye mwenyewe?