bimala hassan
Member
- Sep 22, 2014
- 10
- 0
nisaidieni kwenye hilo swala wakuu 🙂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu heri usome chuo kizuri hata kama kozi ni sociology, kuliko kusoma vyuo mbuzi, mfano mimi huwa hadi nahisi njaa na kupiga mihayo pale naposkia eti mtu anasema anasoma sjiui sekuko, josia kibira mara mwenge du! Jamani ngoja niishie hapa.
nisaidieni kwenye hilo swala wakuu 🙂
Mkuu heri usome chuo kizuri hata kama kozi ni sociology, kuliko kusoma vyuo mbuzi, mfano mimi huwa hadi nahisi njaa na kupiga mihayo pale naposkia eti mtu anasema anasoma sjiui sekuko, josia kibira mara mwenge du! Jamani ngoja niishie hapa.
Bora corse nzuri kwenye chuo kibaya kama sauti kuliko usome licorse libaya ambalo ukiulizwa hata ulisomea nini unashindwa kusema unabaki kusema ud nilisoma ud na ud ndiyo wanaongoza kuwa na makozi ya kijinga mara sijui fisharazi science au food engineer mara sijui textile science mara sport and physical exercse science, acturial science, b.a culture history managment bora usom hata saut au toefilo kisanji corse ya maana
Na ww mtoa thread kaulize nini maana ya faculty.....na uambiwe inatofauti gani na course....then chunguza swali lako
unaifaham acturial science ww??
unaifaham acturial science ww??
kozi gani hiyo haifahamiki inaweza ikawa na content nzuri lakini jina lake baya, haifahamiki ukitaka kumueleza mtu lazima utumie muda mwingi sana eeeh unajua hii mzee ni statistic sijui socio protection
Mkuu heri usome chuo kizuri hata kama kozi ni sociology, kuliko kusoma vyuo mbuzi, mfano mimi huwa hadi nahisi njaa na kupiga mihayo pale naposkia eti mtu anasema anasoma sjiui sekuko, josia kibira mara mwenge du! Jamani ngoja niishie hapa.