Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,897
- 6,925
Mikopo kwenye mabank ya Tanzania riba kubwa mno kiasi cha mfanya biashara kuzalishia bank badala ya kutia pesa mfukoni. Bank za Tanzania riba zinatisha kufikia hadi zaidi ya 15% wakati majuu mkopo wenye secured acoount ni free for short term kwa baadhi mabank na ni 3% - 4% for long term loam. Hapa nimegundua sababu ya wafanya biashara wengi kuwa na acoount nje ambako wanafanya ndio mabank ya kukopa pesa badala ya mabank nchini. Wasio na access ya kuwa uwezo wa kufungua account majuu kwa sababu ya mashari ndio wanaoumia katika mikopo ya mabenk yetu.