"Bora msagaji kuliko mume wangu"

Mwanaume ale sembe tangu utoto, halafu aweze kazi?Tuliokula/tunaokula Dona, mtama, makande, matunda na vyakula vingine vya asili, "bao za kutosha" poleni !
 
Kusagana ni tabia mbaya sana haina tofauti na kufanya mapenzi kinyume cha maumbile..nadhani dunia ndo inaishia..yote yalitabiriwa..na bible

itabid kitabu cha ufunuo wa yohana kiwe kibafundishwa zaid kwa sasa
 

ndo mana yule mdada aliimba "ni mungu na shetani, wanafanya kampeni"
 
Cio kwa lip kubwa sema kwa yap makubwa

Nimezungumzia lipi maana hapa linazungumziwa moja la usagaji....ni ajabu kumuonea huruma anayetenda dhambi ya usagaji wakati wewe pia unazini..(nimetolea mfano tu sijamaanisha wewe huwa unazini)
 
Nimezungumzia lipi maana hapa linazungumziwa moja la usagaji....ni ajabu kumuonea huruma anayetenda dhambi ya usagaji wakati wewe pia unazini..(nimetolea mfano tu sijamaanisha wewe huwa unazini)

Basi kumbe jib ulikua nalo y uniulze kwa zambi kubwa ipi na apa tunazungumzia usagaji
 
Yote ufanyayo jua Mungu anakuona na ipo siku utalia ili akusamehe nayo siku hiyo yaja
 
Basi kumbe jib ulikua nalo y uniulze kwa zambi kubwa ipi na apa tunazungumzia usagaji

Umesema wanawake tutajibu nini....kwani watendao dhami ni wanawake tu? Wapo walevi,waongo,wazinzi,wala rushwa,washirikina..e.t.c. Hayo yote wanafanya wanawake tu? Lengo lako nadhani ilikuwa kwamba wanawake watajibu nini kwa hii dhambi ya usagaji sivyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…