"Bora msagaji kuliko mume wangu"

"Bora msagaji kuliko mume wangu"

Shida ni moja huyo mwanaume kabla ya ndoa alikuaje?
Mwanamke mwingine keshapitia miti mia kidogo,anakuja kukutana na baba wa watu kibamia watawezana kweli?
..lakini kwa upande wa pili hicho kibamia ni size ya mwanamke mwingine..
Mwisho wa siku ndo kuwaza kusagana badala ya kufanya mazoezi ya kubana misuli..
Unaweza ukawa tatizo na uishie kuhukumu wengine.
Sense
 
Kusagana ni tabia mbaya sana haina tofauti na kufanya mapenzi kinyume cha maumbile..nadhani dunia ndo inaishia..yote yalitabiriwa..na bible

Kufananisha msagaji na hao wase.. ni vitu viwili tofauti. Msagaji anatumia sehemu ileile. Ila anakuwa na ujuzi zaidi na zana zinazofanana na maumbile ya kiume (kama anazo) sasa wanafananaje hao wanaotumia mapenzi kinyume na maumbile? Kuna baadhi ya wanaume wakubali tu kazi hawaiweize ipasavyo. Utasikia mwanaume nasema “unajua wewe mtamu sana ndio maana nimemaliza mapema” Na hiyo hli inajirudia mara kwa mara. Baadhi ya wanaume kubalini tu kimoyomoyo game inawashinda
 
Ukimshika tu mwanamke anateleza kama samaki , ngozi ya asili hsna imebaki kutoa harufu.. Hiyo round ya pili unatafuta nini?
 
Sasa utfautishe Kati ya kumridhisha mwanamke na kumchosha...
Ndo kinachowaponza! Wanadhani kupiga magoli mengi au kupump kwa nguvu ndo kumridhisha mwanamke! Wasagaji wanaelewa nini mwanamke anachotaka ndo mana mwanamke akinasa tu hachomoki!
 
Ndo kinachowaponza! Wanadhani kupiga magoli mengi au kupump kwa nguvu ndo kumridhisha mwanamke! Wasagaji wanaelewa nini mwanamke anachotaka ndo mana mwanamke akinasa tu hachomoki!
Mmhh! Nimeisha kuelewa why unatetea haya??? Shame on you all women..! May God have mercy you..
 
Magu kafanya wanaume kujaa stress na kushindwa kutekeleza majukum yao
 
Habari wana MMU
Imenisikitisha sana, nilikua nipo sehemu ya watu wengi wake kwa waume, wengi tumejitenga kwa vikundi vikundi, pembeni ya kundi letu kulikua na kundi la wanawake wanne, wanajadili mambo Yao tena kwa sauti kubwa, mara nikasikia, "kwa wanaume waskuiz shost bora msagaji tu......ka mine wangu saiv amenichosha, yani kimoja tu...hata hakinifikish popote,ILA Kuna dada mmoja anasaga huyo yani ad mume wangu simtamani tena..."

Mmh hali ni mbaya kwa kweli wanaume inaonekana tumeshindwa kazi ad wanawake wanasaidiana wenyewe kwa wenyewe ama?
Au tatizo ni nini?
Karibuni tujadili
shetani huyoo
 
Ndo kinachowaponza! Wanadhani kupiga magoli mengi au kupump kwa nguvu ndo kumridhisha mwanamke! Wasagaji wanaelewa nini mwanamke anachotaka ndo mana mwanamke akinasa tu hachomoki!
Mi nasomaga story za humu naishiaga kusikitika tu....!!!Sijui Nani kawafundisha tunataka kukomolewa ukitoka hapo uchechemeee!!
 
Saidia jeshi la police popote nchini ukiona au ukibaini mtu au watu wanashiriki au wanajohusisha au kushabikia mahusiano ya jinsia moja bac toa raarifa mara moja katika kituo ambacho kiko karibu nawe.[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Habari wana MMU
Imenisikitisha sana, nilikua nipo sehemu ya watu wengi wake kwa waume, wengi tumejitenga kwa vikundi vikundi, pembeni ya kundi letu kulikua na kundi la wanawake wanne, wanajadili mambo Yao tena kwa sauti kubwa, mara nikasikia, "kwa wanaume waskuiz shost bora msagaji tu......ka mine wangu saiv amenichosha, yani kimoja tu...hata hakinifikish popote,ILA Kuna dada mmoja anasaga huyo yani ad mume wangu simtamani tena..."

Mmh hali ni mbaya kwa kweli wanaume inaonekana tumeshindwa kazi ad wanawake wanasaidiana wenyewe kwa wenyewe ama?
Au tatizo ni nini?
Karibuni tujadili
Inawezekana hawana kazi yoyote ile inayoshughulisha akili yao ukiondoa mambo ya mapambo,umbea etc.
Wanaume wao kutokana na hali ngumu inayokabili jamii yetu inabidi wahangaike muda mrefu ili kusawazisha mambo nyumbani. Matokeo ya hali hii, wengi wao wakirudi nyumbani wanakuwa hoi physically na psychologically.
 
Back
Top Bottom