Bora niamini Mizimu kama babu zetu, kuliko hawa waliowafanya watumwa babu zetu ni wanafiki tu

Bora niamini Mizimu kama babu zetu, kuliko hawa waliowafanya watumwa babu zetu ni wanafiki tu

Munch wa annabelletz47

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2019
Posts
1,885
Reaction score
3,227
Nashangaa kuona watu wanakesha kutwa usiku kucha kupiga kelele eti wanaomba na kusifu, ni upumbavu wa hali ya juu kushobokea watu waliowatesa ndugu zetu.

Vilevile, nashangaa watu wanashinda msikitini kutwa nzima kupiga umbea na kusahau kwamba nao waliwachukua utumwani.

Pia, nashangaa hao waliotuletea hizo dini hawakeshi kama sisi, na wengine hata kanisani hawajui kabisa.

Hivi SISI TUNALAANIWA NA MABABU ZETU KWA KUWASALITI. Kinjikitile hakuwa Mkristo wala Mwislamu, King'ara hakuwa Mkristo wala Mwislamu, Mkwawa hakuwa Mkristo wala Mwislamu, na ni watu waliotupigania kwa nguvu zote hadi kufa kwao.

MABABU WAMETULAANI, HATUTAENDELEA HADI TUWARUDIE. KARIBU KOLELO.
 
Nashangaa kuona watu wanakesha kutwa usiku kucha kupiga kelele eti wanaomba na kusifu, ni upumbavu wa hali ya juu kushobokea watu waliowatesa ndugu zetu.

Vilevile, nashangaa watu wanashinda msikitini kutwa nzima kupiga umbea na kusahau kwamba nao waliwachukua utumwani.

Pia, nashangaa hao waliotuletea hizo dini hawakeshi kama sisi, na wengine hata kanisani hawajui kabisa.

Hivi SISI TUNALAANIWA NA MABABU ZETU KWA KUWASALITI. Kinjikitile hakuwa Mkristo wala Mwislamu, King'ara hakuwa Mkristo wala Mwislamu, Mkwawa hakuwa Mkristo wala Mwislamu, na ni watu waliotupigania kwa nguvu zote hadi kufa kwao.

MABABU WAMETULAANI, HATUTAENDELEA HADI TUWARUDIE. KARIBU KOLELO.
Kila mtu ashinde mechi zake, binafsi sioni msaada wa mtu aliyekufa, kama huyo kinjekitile angekuwa wa maana asingekufa, angekuwepo Hadi leo kukupigania , YESU ni mwamba....
 
Nashangaa kuona watu wanakesha kutwa usiku kucha kupiga kelele eti wanaomba na kusifu, ni upumbavu wa hali ya juu kushobokea watu waliowatesa ndugu zetu.

Vilevile, nashangaa watu wanashinda msikitini kutwa nzima kupiga umbea na kusahau kwamba nao waliwachukua utumwani.

Pia, nashangaa hao waliotuletea hizo dini hawakeshi kama sisi, na wengine hata kanisani hawajui kabisa.

Hivi SISI TUNALAANIWA NA MABABU ZETU KWA KUWASALITI. Kinjikitile hakuwa Mkristo wala Mwislamu, King'ara hakuwa Mkristo wala Mwislamu, Mkwawa hakuwa Mkristo wala Mwislamu, na ni watu waliotupigania kwa nguvu zote hadi kufa kwao.

MABABU WAMETULAANI, HATUTAENDELEA HADI TUWARUDIE. KARIBU KOLELO.
Taratibu taratibu tuu tutaelewa woteeee
 
Mtumish acha kutukana ni jambo baya sana kumwacha MWENYEZI MUNGU yeremia 2:19 acha kufuata mkumbo wa watu waliopotea kuwa makin kaka yangu

Shetani anawinda na ni mpotoshaji mkubwa usikubali kutekwa akili yako na ulimwengu dunia inapita kaka yangu UFUNUO 12 :17-18
 
Kila mtu ashinde mechi zake, binafsi sioni msaada wa mtu aliyekufa, kama huyo kinjekitile angekuwa wa maana asingekufa, angekuwepo Hadi leo kukupigania , YESU ni mwamba....
Yesu pia alikufa na kutundikwa msalabani.

Hakuna ushahidi wa kufufuka kwake.

Karibuni panga za mulumbu
 
Mizimu ya kizungu =malaika

Mizimu ya kiarabu=majini

Mizimu ya kiafrika =mashetani

Aliyeturoga alikufa
 
Mtumish acha kutukana ni jambo baya sana kumwacha MWENYEZI MUNGU yeremia 2:19 acha kufuata mkumbo wa watu waliopotea kuwa makin kaka yangu

Shetani anawinda na ni mpotoshaji mkubwa usikubali kutekwa akili yako na ulimwengu dunia inapita kaka yangu UFUNUO 12 :17-18
Ngonjera zako peleka unapopeleka sadaka.
 
Usis
Mizimu ya kizungu =malaika

Mizimu ya kiarabu=majini

Mizimu ya kiafrika =mashetani

Aliyeturoga alikufa
Usiseme hivyo mtu wa MUNGU unakosea ni jambo jema sana kumkaribia YESU KRISTO,


Unajua dunia ya Sasa imejaa uposhaji na upingaji

Usimruhusu roho huyo wa upingaji akutawale
 
YESU KRISTO alikufa mtumish siku ya tatu akafufuka mpaka mda huu yu HAI
Na kinjikitile nae alifufuka yupo kama mzma huko iringa watu wanaomba na anajibu. UNAAMIN KUFUFUKA YESU AMBAE HUMJUI WALA UNANASABA NAE NA UNAKAZA FUVU LAKINI BABU ZAKO KNA KINGARA KINJE NA MKWAWA HAUWAAMINI WE UMEROGWA NA NANI?
 
Usis

Usiseme hivyo mtu wa MUNGU unakosea ni jambo jema sana kumkaribia YESU KRISTO,


Unajua dunia ya Sasa imejaa uposhaji na upingaji

Usimruhusu roho huyo wa upingaji akutawale
Nashukuru dini haijanipumbaza akili
 
Back
Top Bottom