A Attack JF-Expert Member Joined Jun 29, 2022 Posts 894 Reaction score 1,608 Sep 30, 2024 #41 Mzee makoti said: Yesu wenyewe kauliwa kiboya boya tu, mjanja atatundikwa msalabani na kuvishwa diapers Na sidhani kama hawakumPiddy mazayuni Click to expand... ππππ Matusi na masimango waliomfanyia pale masalabani, yanachekesha, lakini yeye alisema tu hawajui walitendalo hivyo basi wasamehewe
Mzee makoti said: Yesu wenyewe kauliwa kiboya boya tu, mjanja atatundikwa msalabani na kuvishwa diapers Na sidhani kama hawakumPiddy mazayuni Click to expand... ππππ Matusi na masimango waliomfanyia pale masalabani, yanachekesha, lakini yeye alisema tu hawajui walitendalo hivyo basi wasamehewe
A Attack JF-Expert Member Joined Jun 29, 2022 Posts 894 Reaction score 1,608 Sep 30, 2024 #42 Sawa Munch wa annabelletz47 said: YANI MTU TIMAMU UNALETA MAANDIKO YA HAOHAO WALOMFANYA BABU YAKO MTUMWA KAMA UTETEZI WAKO KWAO, HV WAAFRICA TUTABADLIKA LINI? HV USHAWAH KUSIKIA NABII UKU INDIA? WATU WANAABUDU HADI NG'OMBE NA WANAMAENDELEO MAKUBWA,CHINA WAO BUDHAA, Click to expand...
Sawa Munch wa annabelletz47 said: YANI MTU TIMAMU UNALETA MAANDIKO YA HAOHAO WALOMFANYA BABU YAKO MTUMWA KAMA UTETEZI WAKO KWAO, HV WAAFRICA TUTABADLIKA LINI? HV USHAWAH KUSIKIA NABII UKU INDIA? WATU WANAABUDU HADI NG'OMBE NA WANAMAENDELEO MAKUBWA,CHINA WAO BUDHAA, Click to expand...
Beira Boy JF-Expert Member Joined Aug 7, 2016 Posts 19,976 Reaction score 32,195 Sep 30, 2024 #43 Attack said: Sawa Click to expand... Ubalikiwe mtumish tumushukuru KRISTO kwa Neema hii ya uchaji aliyotujalia Uwe na usiku mwema mtu wa MUNGU
Attack said: Sawa Click to expand... Ubalikiwe mtumish tumushukuru KRISTO kwa Neema hii ya uchaji aliyotujalia Uwe na usiku mwema mtu wa MUNGU
Herbalist Mtaturu Senior Member Joined Aug 17, 2023 Posts 156 Reaction score 237 Sep 30, 2024 #44 Attack said: Ukimkili yeye kuwa ni muokozi, atakutoa kwenye kutegemea hao jamaa zako, ambao wanakupa masharti mpaka unakosa amani, Kwa YESU Kuna RahaβοΈ Click to expand... Kwanza kabisa hilo la kumkiri ni sharti lakwanza alokupa mzimu yesu
Attack said: Ukimkili yeye kuwa ni muokozi, atakutoa kwenye kutegemea hao jamaa zako, ambao wanakupa masharti mpaka unakosa amani, Kwa YESU Kuna RahaβοΈ Click to expand... Kwanza kabisa hilo la kumkiri ni sharti lakwanza alokupa mzimu yesu