Bora ningemmega ona sasa!!

Bora ningemmega ona sasa!!

inawezekana alikuwa na boyfriend au mchumba wake hapo, kaogopa kuharibu kama ulivyoogopa wewe.
 
Ulichelewa sana ungeingiza hata kichwa tu angekukumbuka milele
 
Umenena..aendelee kulinda ndoa yake ndicho kilichobaki.



Ulifanya vyema




Kama una mke heshimu ndoa yako
Hiyo ni mapenzi ya teenager ambayo sana sana alikuwa anakupenda na anajua angekupata msaada kwake usingepungua
Bora umefanya hivyo kulinda ndoa yako na kulinda heshima yako
Swala la yeey kukuchukia sidhani kwa kuwa hujafanya alichokuwa anataka ila ni kwamba kuna msaada anaukosa kwa kuwa anajua hawezi kuupata
Sana sana hapo alitaka akuchune na aendelee kukuchuna haswa kama ungekuwa umeingia kwenye himaya yake
 
kwa kumchukulia km 2.mdogo wangu sikuona hiyana kumsaidia vi-muda vya maongezi.
Hivi jamani 1.kama ningemmega haya yote yangetokea c 3.angekuwa na ka-sense of respect
Hebu unganisha nyekundu 1+2...ungekuwa hayawani.
Nyekundu 3, unataka uheshimwe kwa kumega? Inaonesha tangu mwanzo ulikuwa na nia mbaya japo kidogo, vyenginevyo usingejuta kwa nini hukummega. Kinyume cha hivyo, ulifanya vizuri kukata mzizi wa fitina mapema, hasa ukitilia maanani una familia yako.
 
Nilimfahamu toka akiwa kidato cha II tukawa tunaongea anapokuwa likizo na nikawa namhimiza kusoma kwa bidii , binti huyo anamwonekano nilihisi hawezi kumaliza FIV kwa kuwa lazima wakware wengi walikuwa wanamtokea.

Alimaliza Fiv 2010, tulipokutana baasa ya kumaliza tuliongea sana kuhusiana na matokeo akaniambia hayakuwa mazuri na wazazi wake walikuwa wanamtafutia chuo, nilimwuliza kuhusu kurudia mtihani akaniambia hayupo tayari.

Mara nyingine tulipoonana nilmwulizia mipango ya chuo akaniaambia ameshapata chuo na atasomea cheti cha uhasibu, alinikuwa anahitaji nimfuatilie maswala fulani ofisini hivyo tulipeana namba za simu.

Tulianza kuwasiliana kwa simu yy akiwa kinara wa mawasiliano na mizinga ya vocha km kawa, kwa kumchukulia km mdogo wangu sikuona hiyana kumsaidia vi-muda vya maongezi. Mawasilano yakazidi, sauti ya kuremba, maswali ya kizushi mara uko wapi,uko na nani nk, zikaanza meesji za mahaba na simu za usiku wakati huo kashaanza chuo. Alikuwa ananihimiza kila wakati niende kumtembelea mara kanimiss nk.

Nilianza kuhisi mambo siyo, mm nina kanuni sitaki kabisa mazoea na teenager hivyo nikachukua hatua, niliamua kuaongea naye kwa kirefu na kwa kumtega sana ili kujua mawazo yake, ndipo nilipojua tayari ameshanipa nafasi ya upangaji ktk mtima wake ni mm tu ku log in.

Niliongea naye kwa upendo na kumwelimisha kwamba tunaweza kuwa marafiki lakini si uhusiano mwingine binti alifahamu wazi kwamba nina mke !, nikamwomba pia apunguze mawasiano,kweli alipunguza mawasiliano, tukawa tunawasilana kawaida na ile sauti ya kuremba haikuwepo tena. Niliamua kumtembelea tukapata lunch na nikampa vijipesa kidogo.

Mara ya mwisho kuwasilana naye aliniambia amemaliza masomo na alikuwa anafanya tempo mahali fulani, ilikuwa miezi minne iliyopita.

Mkasa,Jumamosi 17/3/12 nikiwa ndani ya benki moja nilimwona na yy akiwa humo c nikaenda kumsalimu tena kwa kumgusa nimemwaga tabasamu, ALINICHUNIA KAMA HANIJUI!!! hebu fikiri kulikuwa na watu wengi tu, nikapotezea na kwenda meza nyingine. Nilihisi vijasho kwapani vikishuka japo kuna ac.

Hivi jamani kama ningemmega haya yote yangetokea c angekuwa na ka-sense of respect hata km ningemmega nikala kona!.

Alikuhitaji wakati muafaka ukaruka kimanga,sasa yeye anaweza kukupa vocha na lunch kama ulivyofanya miaka ilee...pole.
 
Kwani alipokuchunia alikumegua kipisi cha pua yako? Utamega wangapi sasa kwa sababu unaogopa kuchuniwa? Mpotezee, hakupi pumzi!
 
imekula kwako, kwa nini unawaza kumega nje while upo kwenye ndoa?
 
Nilimfahamu toka akiwa kidato cha II tukawa tunaongea anapokuwa likizo na nikawa namhimiza kusoma kwa bidii , binti huyo anamwonekano nilihisi hawezi kumaliza FIV kwa kuwa lazima wakware wengi walikuwa wanamtokea.

Alimaliza Fiv 2010, tulipokutana baasa ya kumaliza tuliongea sana kuhusiana na matokeo akaniambia hayakuwa mazuri na wazazi wake walikuwa wanamtafutia chuo, nilimwuliza kuhusu kurudia mtihani akaniambia hayupo tayari.

Mara nyingine tulipoonana nilmwulizia mipango ya chuo akaniaambia ameshapata chuo na atasomea cheti cha uhasibu, alinikuwa anahitaji nimfuatilie maswala fulani ofisini hivyo tulipeana namba za simu.

Tulianza kuwasiliana kwa simu yy akiwa kinara wa mawasiliano na mizinga ya vocha km kawa, kwa kumchukulia km mdogo wangu sikuona hiyana kumsaidia vi-muda vya maongezi. Mawasilano yakazidi, sauti ya kuremba, maswali ya kizushi mara uko wapi,uko na nani nk, zikaanza meesji za mahaba na simu za usiku wakati huo kashaanza chuo. Alikuwa ananihimiza kila wakati niende kumtembelea mara kanimiss nk.

Nilianza kuhisi mambo siyo, mm nina kanuni sitaki kabisa mazoea na teenager hivyo nikachukua hatua, niliamua kuaongea naye kwa kirefu na kwa kumtega sana ili kujua mawazo yake, ndipo nilipojua tayari ameshanipa nafasi ya upangaji ktk mtima wake ni mm tu ku log in.

Niliongea naye kwa upendo na kumwelimisha kwamba tunaweza kuwa marafiki lakini si uhusiano mwingine binti alifahamu wazi kwamba nina mke !, nikamwomba pia apunguze mawasiano,kweli alipunguza mawasiliano, tukawa tunawasilana kawaida na ile sauti ya kuremba haikuwepo tena. Niliamua kumtembelea tukapata lunch na nikampa vijipesa kidogo.

Mara ya mwisho kuwasilana naye aliniambia amemaliza masomo na alikuwa anafanya tempo mahali fulani, ilikuwa miezi minne iliyopita.

Mkasa,Jumamosi 17/3/12 nikiwa ndani ya benki moja nilimwona na yy akiwa humo c nikaenda kumsalimu tena kwa kumgusa nimemwaga tabasamu, ALINICHUNIA KAMA HANIJUI!!! hebu fikiri kulikuwa na watu wengi tu, nikapotezea na kwenda meza nyingine. Nilihisi vijasho kwapani vikishuka japo kuna ac.

Hivi jamani kama ningemmega haya yote yangetokea c angekuwa na ka-sense of respect hata km ningemmega nikala kona!.

mzee aya mambo huwa watu wengi wanayakosea mmoja wapo nia ww, awa binaadamu unatakiwa utake action mapema mno,mi spendi zarai kabisa apo ujue mle ndani kuna jamaa yake na alikua some were,na najua baada ya wee kuondoka jamaa atakua aliuliza yule ulikua unaongea mda ule ni nani?demu atasema ahh ni mpuuzi mmoja tu cjui kanifanananisha vile, umeona kazi iyo mzee?
 
Bahati kama hizi hivi kwanini hazinidondokei? Ama kwa hakika kwene miti mingi hakuna wajenzi..
 
kama una namba zake za SIMU,mtuangie alafu akileta umbayuwayu mpotezee,we si unamke bana.
 
Shukurani ya punda mateke au hujui hilo.... Ridhika na MUNGU alichokupa we una mke na familia mkuu
 
Nilimfahamu toka akiwa kidato cha II tukawa tunaongea anapokuwa likizo na nikawa namhimiza kusoma kwa bidii , binti huyo anamwonekano nilihisi hawezi kumaliza FIV kwa kuwa lazima wakware wengi walikuwa wanamtokea.

Alimaliza Fiv 2010, tulipokutana baasa ya kumaliza tuliongea sana kuhusiana na matokeo akaniambia hayakuwa mazuri na wazazi wake walikuwa wanamtafutia chuo, nilimwuliza kuhusu kurudia mtihani akaniambia hayupo tayari.

Mara nyingine tulipoonana nilmwulizia mipango ya chuo akaniaambia ameshapata chuo na atasomea cheti cha uhasibu, alinikuwa anahitaji nimfuatilie maswala fulani ofisini hivyo tulipeana namba za simu.

Tulianza kuwasiliana kwa simu yy akiwa kinara wa mawasiliano na mizinga ya vocha km kawa, kwa kumchukulia km mdogo wangu sikuona hiyana kumsaidia vi-muda vya maongezi. Mawasilano yakazidi, sauti ya kuremba, maswali ya kizushi mara uko wapi,uko na nani nk, zikaanza meesji za mahaba na simu za usiku wakati huo kashaanza chuo. Alikuwa ananihimiza kila wakati niende kumtembelea mara kanimiss nk.

Nilianza kuhisi mambo siyo, mm nina kanuni sitaki kabisa mazoea na teenager hivyo nikachukua hatua, niliamua kuaongea naye kwa kirefu na kwa kumtega sana ili kujua mawazo yake, ndipo nilipojua tayari ameshanipa nafasi ya upangaji ktk mtima wake ni mm tu ku log in.

Niliongea naye kwa upendo na kumwelimisha kwamba tunaweza kuwa marafiki lakini si uhusiano mwingine binti alifahamu wazi kwamba nina mke !, nikamwomba pia apunguze mawasiano,kweli alipunguza mawasiliano, tukawa tunawasilana kawaida na ile sauti ya kuremba haikuwepo tena. Niliamua kumtembelea tukapata lunch na nikampa vijipesa kidogo.

Mara ya mwisho kuwasilana naye aliniambia amemaliza masomo na alikuwa anafanya tempo mahali fulani, ilikuwa miezi minne iliyopita.

Mkasa,Jumamosi 17/3/12 nikiwa ndani ya benki moja nilimwona na yy akiwa humo c nikaenda kumsalimu tena kwa kumgusa nimemwaga tabasamu, ALINICHUNIA KAMA HANIJUI!!! hebu fikiri kulikuwa na watu wengi tu, nikapotezea na kwenda meza nyingine. Nilihisi vijasho kwapani vikishuka japo kuna ac.

Hivi jamani kama ningemmega haya yote yangetokea c angekuwa na ka-sense of respect hata km ningemmega nikala kona!.

afu ubaya bahati hizo hazitokei ukiwa hujaoa.. Ukioa
 
Ulikosea tokea mwanzo kuwa na rafiki wa kike ambaye Mkeo hamjui, na akakuchuna kidogo kidogo kwa kumtumia vocha wakati si ajabu hata mkeo akikuomba vocha unakuwa mkali. Ila nakupa hongera kwa kutokufanya mapenzi naye, inaonyesha kwa kiasi gani una uaminifu kwa mkeo. Nakushauri uachane nae kabisa huyo, hata namba yake uifute kabisa asije akakuvunjia ndoa yako kwa kukuzushia yakuzusha.

Asante kwa pongezi, ila hakuwa rafiki km rafiki bali nilimchukulia kama mdogo wangu. Mambo ya vocha hata huku maofisini yapo kwa hiyo kumpa vocha haikuwa kitu cha ajabu/kikubwa kwangu.
 
mkuu umesoma seminary nn?teenager unamwachia hujui kubadilisha mboga nn?watamu hao balaa!eti unamsaidia kwani yy yatima

Sijasoma seminary, teenager anatakiwa ampate bachelor ndo watawezana, watu wenye familia km mim, ni sawa na ule msemo ukicheza na mbwa utaingia naye....
Hawajui kusoma mazingira anaweza akakuabisha mbele ya waifu, wengi wanakuwa wanaongozwa zaidi na msukumo rika wenzie wakimjaza ujinga lazima akucheulie!.
 
kwaniukimmega mwanamke ndo atakuwaanakuheshimu milele

Mpaka kufikia kumegena ina maana kila mmoja kwa namna moja ama nyingine alivutiwa na mwenzie, hivyo kumdharau m2 uliyemkabidhi mwili wako ni sawa na kujidharau ww uliyejitoa kwake, kwa muungwana heshima itakuwepo daima.
 
:wink2: Jiwe kwa jiwe hata wewe siku akikatiza anga zako mfanyizie uone yeye itakvyo mtachi
 
Back
Top Bottom