Uzinzi siyo siyo dhambi ni tendo takatifu.Uzinzi ni dhambi kama nyingine tu
Sawa mkuuUzinzi siyo siyo dhambi ni tendo takatifu.
Hilo wigi itakuwa ulinipa wwMbona hawaolewi acha kujoshukia achana na mawigi
class za watu mnaodate nao ndo tatizo mkuu maana sioni tatizo kwenye wigiMkuu n kweli adse hayo mawigi yanatoaga harufu mbaya sana
Hauhitaji ushahidi mkuu?Sawa mkuu
hivi eti BBB una undugu na HR666 & Gentries??Namusibiria joseverest aje hapa anieleze uzi wangu kaupeleka wapi
Naomba mnaojua kutag mumutag aje hapa
Mchagua kilima si mtambaaji!!Mchagua km si mtmbj
yaani hapa nitaona watu wote na class zao, huwezi kunambia uko na class ya juu then uje uchukue wenye kunuka mawigi, that means hao wanuka mawigi ndo class yakoNilishaingiaga na demu guest, ile kuva wigi nilipiga chafya 11 bila kupumzika mpk alipolifunika mwenyewe.
Lile wigi lilikua linatema, kanakwamba likiwekwa kushoto alaf kulia kukawa na chemba ya choo, utageuzia pua kweny chemba
Hahaaaa mkuu kumbe na wewe ishawahi kukutokea hiiNilishaingiaga na demu guest, ile kuva wigi nilipiga chafya 11 bila kupumzika mpk alipolifunika mwenyewe.
Lile wigi lilikua linatema, kanakwamba likiwekwa kushoto alaf kulia kukawa na chemba ya choo, utageuzia pua kweny chemba