Bora rafiki kuliko ndugu wa damu.

Bora rafiki kuliko ndugu wa damu.

Shanily

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2024
Posts
856
Reaction score
1,662
Mtoto wa nyoka ni nyoka ndo maneno ya binadamu.

Sometimes Bora rafiki kuliko ndugu wa damu.

Ubaya ukizidi sana unakosa hata tabasamu.

Dar es salaam kutesa kwa zamu.

Yaani Bado siamini kama wamenimwagia sumu.

Lengo lao wanipeleke kuzimu.

Hawana nidhamu, nami nazifikisha salamu.

Wajiandae lasivyo wataiona jehanamu.
 
Mtoto wa nyoka ni nyoka ndo maneno ya binadamu.

Sometimes Bora rafiki kuliko ndugu wa damu.

Ubaya ukizidi sana unakosa hata tabasamu.

Dar es salaam kutesa kwa zamu.

Yaani Bado siamini kama wamenimwagia sumu.

Lengo lao wanipeleke kuzimu.

Hawana nidhamu, nami nazifikisha salamu.

Wajiandae lasivyo wataiona jehanamu.
Nambo gani haya!
Niwaache ndugu zangu?

Shida kubwa hapo ni malezi,mimi hata ndugu anipite kipato sina sina,anipite chochote nina amani Tu!

ndugu kugombana ni upungufu wa maarifa!
 
Back
Top Bottom