Bora tu muendelee kukatalia Wakenya, hizi video huonyesha kwa kweli tutawakoloni mkiachia

Bora tu muendelee kukatalia Wakenya, hizi video huonyesha kwa kweli tutawakoloni mkiachia

nani alikwambia dc ni ajira ya kudumu!!!

mmeshalemaa sasa kiasi ukisikia mtu katolewa cheo cha kupewa inaonekana kakomeshwa.

Anawashushua mmoja mmoja, poleni sana.
Hasubiri mapambio....
 
Anawashushua mmoja mmoja, poleni sana.
Hasubiri mapambio....
tafuta chakula mdogo wangu,mambo ya ccm yatakuvuruga.
hivi unajua kwamba makonda,bashiru,polepole wamerudi kijijini kwao kulima[emoji23][emoji23].
au hujaambiwa bado.
 
Eti mtu akivunjika handbrake utampa huduma gani ya kwanza? Watz bana! [emoji1][emoji1][emoji1] MK254 , umeona hii hapa?
 
tafuta chakula mdogo wangu,mambo ya ccm yatakuvuruga.
hivi unajua kwamba makonda,bashiru,polepole wamerudi kijijini kwao kulima[emoji23][emoji23].
au hujaambiwa bado.

Ni wazi anataka muanze kufanya kazi sio haya mambo ya buku saba.
 
tumeanza 2015 yeye akiwa makamu.

Sasa ni rais tena mkuu wa majeshi na kila kitu, hapendi huo ujinga, alishasema mkimzingua atawazingua na ndiyo hapo matokeo.....
 
Ndio uzuri wa elimu, kwamba hamshikiliwi akili na mtu mmoja, leo hii Tanzania ndio kama kila kiongozi amerejeshewa ubongo, kipindi cha JPM nyote mlikua full mapambio hata akisema corona haipo na haijawahi kuwepo na imeisha kwa maombi mnaitikia amina. Sijui ni athari za ujamaa hufanya watu wawe kama misukule au nini, kwamba hakuna mwenye jeuri ya kuhoji chochote.
Japo pia mfumo wa elimu ni hovyo sana, hao hapo vijana wa mjini hawajui Oktoba mwezi wa ngapi.....channel ya huyo jamaa huwa naifuatilia na kucheka sana sio kwa majibu yenu.
mwenda zake hakuwa wa mchezomchezo,ni sawa tu au alimzidi unyama Moi wenu au level moja na Mzee Kenyatta...nani angekohoa?

si unaona.

Na kuhusu hiyo blogu ni ya vichekesho,analenga kundi maalum
 
Back
Top Bottom