Bora tu muendelee kukatalia Wakenya, hizi video huonyesha kwa kweli tutawakoloni mkiachia

nani alikwambia dc ni ajira ya kudumu!!!

mmeshalemaa sasa kiasi ukisikia mtu katolewa cheo cha kupewa inaonekana kakomeshwa.

Anawashushua mmoja mmoja, poleni sana.
Hasubiri mapambio....
 
Anawashushua mmoja mmoja, poleni sana.
Hasubiri mapambio....
tafuta chakula mdogo wangu,mambo ya ccm yatakuvuruga.
hivi unajua kwamba makonda,bashiru,polepole wamerudi kijijini kwao kulima[emoji23][emoji23].
au hujaambiwa bado.
 
Eti mtu akivunjika handbrake utampa huduma gani ya kwanza? Watz bana! [emoji1][emoji1][emoji1] MK254 , umeona hii hapa?
 
tafuta chakula mdogo wangu,mambo ya ccm yatakuvuruga.
hivi unajua kwamba makonda,bashiru,polepole wamerudi kijijini kwao kulima[emoji23][emoji23].
au hujaambiwa bado.

Ni wazi anataka muanze kufanya kazi sio haya mambo ya buku saba.
 
tumeanza 2015 yeye akiwa makamu.

Sasa ni rais tena mkuu wa majeshi na kila kitu, hapendi huo ujinga, alishasema mkimzingua atawazingua na ndiyo hapo matokeo.....
 
mwenda zake hakuwa wa mchezomchezo,ni sawa tu au alimzidi unyama Moi wenu au level moja na Mzee Kenyatta...nani angekohoa?

si unaona.

Na kuhusu hiyo blogu ni ya vichekesho,analenga kundi maalum
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…